Sidhani kama anakipya cha kuoffer.Sasa Hbaba ni msanii au Chawa
Hamna kitu pale kwa sasaSidhani kama anakipya cha kuoffer.
Nchi hii sahv mambo haya ndiyo kipaumbele kamandaKwahyo tufanyeje SASA kama kasaini msanii
Hakuna cha bure saiv na hakuna anayependa kusainishwa mikataba ya unyonyaji..Mbwembwee zoote mwisho wa siku aishie kuwasimanga na kumsakama.,utadhan msaada wa bure kumbe mtumwa mpya wa kulipishwa faini ndefu akijitoa
#pooovuuu
Hana hela ya kula bandan kwangu auze yale machen fake labdaUlitaka ale bandani kwako?
Kwani unateseka?Mbwembwee zoote mwisho wa siku aishie kuwasimanga na kumsakama.,utadhan msaada wa bure kumbe mtumwa mpya wa kulipishwa faini ndefu akijitoa
#pooovuuu
Chuki kusema ukweli kuwa anafake life?? Anaweza pata msamalia mwemaUnachuki sana
Kiuno na wamfundishe kujiremba kama wanavyojirembaga.Sidhani kama anakipya cha kuoffer.
Wewe ulitaka kipaumbele kiwe nini?Nchi hii sahv mambo haya ndiyo kipaumbele kamanda
[emoji1]
Ova