Diamond Platinamuz show tatu za nguvu kwa miezi mitatu


Nimekuwa nikiheshimu sana michango yako linapokuja swala na mziki wa Bongo flavor.

Ila kwa hapa duh!
Nimebaki na question mark.!!
 
Huna jipya loser na ndo maana hata mawazo yako ni ya kishirikina shirikina... eti bila aibu jini limemkosa likampiga mama ake... what a nonsense! Usidhani kila mtu anaamini ushirikina kwahiyo hizo habari zako za majini kaongee na shigongo na sio mtu kama mimi! By the way, hayo maoni uliyotoa wewe yapo wapi? Haya:
Diamond kashashuka kimuziki na yeye kashalitambua ndio maana alienda naijeria kuongea na p-square ili wampe siri ya mchezo! Vp Jini alilotupiwa mama yake lishatoka?
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kukaa na kuongelea habari za majini halafu akasema ametoa maoni? Hebu hizo takataka zako za masuaala ya majini wapelekee wagoroka wenzako ndo mnaweza kuelewana. Halafu nilikuwa sifahamu kwamba nabishana na mtu anayesoma magazeti ya Shigongo ... so why should i argue with sub standard mind!!!
 

Tatizo Team Diamond hamtaki kuambiwa ukweli,mkiambiwa ukweli mnakimbilia oh wivu,wivu my ass? Kama kumuonea wivu mtu aliyefanikiwa ningemuonea wivu bakhresa,mo,mengi au patrick ngowi,tafuta thread inayomzungumzia patrick ngowi bilionea mtoto uone nilivyomsifia.Mimi sio shabiki maandazi wa kupewa tecno kuja kupamba watu JF,insta au FB.
 
Last edited by a moderator:
HAkuna aliyekulazimisha umkubali Diamondo wewe mwehu... mimi hoja yangu na wewe ni suala ya mawazo yako potofu na mawazo kale ya kuzungumzia masuala ya ushirikina...! Umchukue Diamond au usimchukie, that's none of business... binafsi halinihusu lakini ninapoona mtu amejawa mawazo ya kishirikina kama wewe siwezi kukufumbia macho coz' watu aina yako wanaoamini kwenye mambo ya kipumbavu ndio wanasababisha hata albino wasiishi kwa amani hivi sasa!
 
Nimekuwa nikiheshimu sana michango yako linapokuja swala na mziki wa Bongo flavor.

Ila kwa hapa duh!
Nimebaki na question mark.!!

Mkuu utakuja kunielewa tu hapa nilikuwa nazungumzia nini,nenda congo kaulize historia ya fali ipupa au koffie olomide halafu utajua nazungumzia nini.
 
" So what do the charts tell us?I want to make one main point, which is this: in several areas of superstition / supernatural belief, Tanzania is way ahead of the rest of Africa.
According to this survey, 93% of Tanzanians believe in witchcraft, 80% that some people can cast spells, and 96% in evil spirits . In all three cases, Tanzania "leads" in these beliefs. In fact, compared to most of the surveyed countries, Tanzania "leads" by a long distance."

Unajua nlikua najua wanatusingizia, ila wewe umenifanya niwaamini. Unawezaje kujenga hoja huku ukiwa na neno " jini " ndani ya maelezo yako? Upo darasa la ngapi asee? Shule gani hiyo ambayo mnaambiwa kuna majini na mkatumie kujengea hoja JF?

Hivi unavoonesha ujinga hivi kwa kumponda Chibu sisi " wenye akili " tukikuacha nani ataonekana mjinga?

Hatujatumwa hata na Nasibu, tunajaribu kuwanyamazisha wajinga wajinga wachache kama nyinyi ili msiiharibie sifa nchi yetu. Akili zipi zinaweza kusema kua nyimbo kali za diamond ni mbili tu? Wamarekani walimuona wakamnominate, wa-nigeria, wa-europe, wa-nakadhalika wamemuona yeye, tena hawajawahi kusikia hata hizo ntarejea wakasema jamaa mkali.

Wasanii wote wakubwa ( neno hapa ni wakubwa) wa Tz wanamkubali dogo mkali, wewe nani bana? Nilikutana na mtu mwaka 2012 mwanzoni akaniambia kufikia december huyu dogo atakua chali, lakini wapii 2015 yupo lagos anatumbuiza kwene tuzo za movies.

Kitu kimoja nilichokiona kwa diamond licha ya mapenzi na muziki ni kua jamaa ana akili sana, nimefuatilia interviews zake nyingi yupo makini kuliko wasanii wengi wa tz. Utabaki kusema atashuka halafu yeye anafanikiwa zaidi.

And one more thing ile kusema diamond ana sauti nzuri sana tuliisemaga wakati anatoka coz ni sifa za ma underground kuwapa moyo ili wasikate tamaa na gemu, siku hizi tunasema " diamond anaitangaza nchi yetu vizuri " coz hizo ndo lines wanazostahili ma-legend.

Na kuhusu techno mdogo wangu nenda ka-google Porche Design P'9983, hizo za laini mbili tuliambiwaga ni fake.
 
Ukweli upi? Huu>>>
Diamond kashashuka kimuziki na yeye kashalitambua ndio maana alienda naijeria kuongea na p-square ili wampe siri ya mchezo! Vp Jini alilotupiwa mama yake lishatoka?
Huu ni ukweli au ni ujuha??? Utaishia na hoja zako chakavu hivyo hivyo za techno.. loser!
 

Boss wenu kabugi asiwaige p-square,fally ipupa au koffi olomide.Kesho siku ya wanawake duniani,mama kwanza fame baadae.
 
Mkuu utakuja kunielewa tu hapa nilikuwa nazungumzia nini,nenda congo kaulize historia ya fali ipupa au koffie olomide halafu utajua nazungumzia nini.
Hakuna atakayekuelewa hapa wewe kizazi cha ushirikina! Nyie ndio watu mnaolitia aibu hili taifa hadi linasifika kwa ushirikina kutokana na mawazo yenu ya hovyo hovyo... mtoto anaumwa badala ya kumkimbiza hopsitali mnasema ametupiwa majini.... what a nonsense!
 
Mkuu utakuja kunielewa tu hapa nilikuwa nazungumzia nini,nenda congo kaulize historia ya fali ipupa au koffie olomide halafu utajua nazungumzia nini.
Mkuu kwanini usijikite zaidi kwenye changamoto za kimuziki kuliko imani za kishirikina.?

Kwani huko Majuu mara ngapi ma start wamehusishwa na wajenzihuru.?

Lakini mwisho wa siku watu wanaangalia nini mtu kafanya kwenye jamii.

tukianza kuangalia imani za kishirikina hakuna atakaesalia salama kuanzia wanasiasa, wanamziki na kila aina ya Sanaa.
 
Boss wenu kabugi asiwaige p-square,fally ipupa au koffi olomide.Kesho siku ya wanawake duniani,mama kwanza fame baadae.
Jisikie aibu kuhubiri ushirikina! na jinsi ulivyo na akili fupi, madai yako umesema Diamond akitupiwa jini... sasa tangu lini mtu akajitupia jini mwenyewe? Hivi huwa unafikiri kwa kutumia akili au unatumia nini hasa?
 

Its utter non sense.
 

i wish kweli ungekuwa unaongea ukweli wala kusingekuwa na tatizo, ila vitu unavyoongea vinatia mashaka na thinking capacity yako, jini alitupiwa mond likamkosa likaenda kwa mama?? uliliona?? au shigongo alikuambia?? ndio maana mond akaenda kuonana na p2?? sasaaa hapa unachoulizwa na chige, onesha connection ya KUSHUKA kwa mond, JINI, P2 na MAMA wa mond, alafu hivi majini hutolewa INDIA??
 

Bishana kwa hoja usiingize matusi uzi utafungwa,kama mlizoea kuwapelekesha team kiba hapa mmenoa mie ni jeshi la mtu mmoja.
 
Unafikiri mie tatizo langu na huyu mwehu unadhani ni suala la uwezo wa Diamond? Diamond anajitangaza mwenyewe na kazi zake labda kama kuna wehu wanaoamini kwamba, hizi tour anazopata kwenda ku-perform nje zinatokana na waandaji kuingia JF na kuona jinsi Diamond anavyosifiwa!! Mimi hoja yangu na huyu loser King Kong III ni imani zake za kishirikina! Watu kama hawa ndio wanasababisha ndugu zetu Albino wasiishi kwa amani ndani ya nchi yao huru! Watu kama hawa ndio wanaliaibisha taifa letu hadi lisifikane kwamba ni taifa linalohusudu ushirikina! Yaani bila aibu wala soni anataja wasanii wti walioua mama zao... sasa mwehu kama huyu sio wa kumfumbia macho... hizo habari zake za kishitikina apeleke huko kwa washirikina wenzake! Mie sikuwahi kufikiria kabisa kwamba humu jamvini kuna watu wanaoweza kuhesabu vifo vilivyotokea eti kwa sababu za kishirikina!!!
 
Last edited by a moderator:

Ukweli mchungu sana kuusikia,kupambana na team ya diamond inahitaji ujasiri,nimelivulia njuga,muulizeni boss wenu aliyefanya interview na shigongo.
 
Bishana kwa hoja usiingize matusi uzi utafungwa,kama mlizoea kuwapelekesha team kiba hapa mmenoa mie ni jeshi la mtu mmoja.
Leo ndo unaona matusi? We hujaniita mchumia tumbo mimi? nimeshawahi kukuomba msaada wewe hadi uniambie mchumia tumbo? Wewe sio ndo umenianza kuniita mimi kilaza! Babako unaweza kumuita kilaza au mchumia tumbo kama unaamini sio matusi? Kizazi cha ushirikina weee!
 
Ukweli mchungu sana kuusikia,kupambana na team ya diamond inahitaji ujasiri,nimelivulia njuga,muulizeni boss wenu aliyefanya interview na shigongo.
Wewe... hakuna loser kama wewe anayesoma magazeti ya shingongo humu... hayo ni magazeti yenu nyie washirikana...! By the way, si we mwenyewe ndo umesema jini alitupiwa Diamond likamkosa likampata mama yake sasa hapo mshirikina ni Diamond au nyie ambao mlitupa hilo jina hadi mnakuwa na data zake??
 

Huo ushauri ungempa boss wako ingekuwa vizuri sana,ushirikina hauwezi kukuweka juu kisanii,mama ni mama fame baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…