idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Hauna ulijualo wewe,upo hapa kishabiki tu kupambana na watu wataotoa maoni hasi juu ya boss wenu.Huyo boss ni zaidi ya vigagula wa geita,muulize shigongo kwanini jini limemkosa likaenda kwa mama yake? Mbona ilo jini limempiga kipindi hiki anapotaka kufanya collabo na p-square.
Nimekuwa nikiheshimu sana michango yako linapokuja swala na mziki wa Bongo flavor.
Ila kwa hapa duh!
Nimebaki na question mark.!!