Diamond Platinum aziponda Hotels za Mbeya

Diamond Platinum aziponda Hotels za Mbeya

Nazjaz unaitwa uje uthibitishe kauli yako, hatutaki maneno ya uzushi uzushi. Au una personal issues na Domo?
 
hata hapa hawezi kulala?
DSCN0470.JPG
 
Ni utoto utakuwa unamsumbua! Pengine sikutegemea kwa nafasi yake na biashara anayo Fanya hakutakiwa kujiingiza kwenye mkumbo wa kuongea mambo yanayo weza kuharibu biashara yake!

Kwakweli si kila kitu ni chakusema! Hapa ndio Nana umuhimu wa wasanii kuwa na watu ambao wanajua kushauri hasa kipi cha kusema na kisicho cha kusema hasa kama unategemea mashabiki kuingiza pesa!

Si kweli Mbeya kunakosekana hotel ya kukaa Diamond na hii haiwezi kuwa kweli! Diamond hawezi kuwa na hadhi kuzidi mawaziri wanao kwenda kila Leo na kupata pa kulala!

Huu ni utoto tuu!
 
Hebu a reverse maisha yake ya nyuma pale tandale chumba hapohapo jiko hapohapo kwanza hana hata sifa ya kuchagua hotel mixuu akisoma achukue siki arambe
 
hata mimi mbeya sienda.mkoa mzima kuna lifti moja tu ya kwenye ghorofa na tena imezinduliwa mwaka huu
Kutokana na hali ya kijiografia,jiji la mbeya haliwezi kujengwa migorofa ya kutisha as bonde la ufa limepita pale so sishangai kuona kuna jengo moja tu lenye lift
 
Nilihuzunika sana Diamond alisema Mbeya hakuna hotel yeye yenye hadhi yakufikia.
Kwanini ametudharau hivyo? Nayeye wa kwanza kuimba anatoka Mbagala.
Je hapigi show vijijini?

Je huko analala hotel gani?

Je Kasulu na Mbeya wapi kuna hotel nzuri?
Dogo amelewa sifa...
 
Ni utoto utakuwa unamsumbua! Pengine sikutegemea kwa nafasi yake na biashara anayo Fanya hakutakiwa kujiingiza kwenye mkumbo wa kuongea mambo yanayo weza kuharibu biashara yake!

Kwakweli si kila kitu ni chakusema! Hapa ndio Nana umuhimu wa wasanii kuwa na watu ambao wanajua kushauri hasa kipi cha kusema na kisicho cha kusema hasa kama unategemea mashabiki kuingiza pesa!

Si kweli Mbeya kunakosekana hotel ya kukaa Diamond na hii haiwezi kuwa kweli! Diamond hawezi kuwa na hadhi kuzidi mawaziri wanao kwenda kila Leo na kupata pa kulala!

Huu ni utoto tuu!

Mkuu hiyo Kauli Dogo aliitamka lini na wapi?
 
Kama amesema kweli bora afute kauli yake,sio vizuri kudharau sehemu kwani yeye anatokea kwenye familia gani?
 
alisema lini? wapi? na alikuwa anahojiwa na nani? source ya bandiko lako ni ipi? kama huwezi kunipa hayo majibu basi huo ni uzushi tuu fatilieni kwanza habari sio kuja kudanganya watu na kutengeneza chuki zisizo na msingi

Wema habari yako
 
Nilihuzunika sana Diamond alisema Mbeya hakuna hotel yeye yenye hadhi yakufikia.
Kwanini ametudharau hivyo? Nayeye wa kwanza kuimba anatoka Mbagala.
Je hapigi show vijijini?

Je huko analala hotel gani?

Je Kasulu na Mbeya wapi kuna hotel nzuri?
Akija kasulu ,halali kasulu analala Kigoma,lake Tanganyika hotel(4 star hotel) ambayo najua mbeya hakuna coz mi mwenyewe nko mbeya Rufaa juu ya solo matola
 
Si ajenge yake yenye Hadhi ili akienda alale kwenye hotel yake asilete UK.......a hapa
 
Nilihuzunika sana Diamond alisema Mbeya hakuna hotel yeye yenye hadhi yakufikia.
Kwanini ametudharau hivyo? Nayeye wa kwanza kuimba anatoka Mbagala.
Je hapigi show vijijini?

Je huko analala hotel gani?

Je Kasulu na Mbeya wapi kuna hotel nzuri?
amesema ukweli. hotel nzuri ni ile lodge ya sugu ambayo nay ni ya hali ya chini sana. zingine zipi, tutajieni, mbeya hakuna hotel wala lodge nzuri, hazipo.
 
Mzee wa kuosha rungu.......kweli fedha!!!!!
 
Nilihuzunika sana Diamond alisema Mbeya hakuna hotel yeye yenye hadhi yakufikia.
Kwanini ametudharau hivyo? Nayeye wa kwanza kuimba anatoka Mbagala.
Je hapigi show vijijini?

Je huko analala hotel gani?

Je Kasulu na Mbeya wapi kuna hotel nzuri?

He is correct. Mbeya wanalazimishaga kusifiwa wakati hawako tayari kujifunza kwa watu wengine masuala ya maendeleo. Ni watu primitive and too much conservatives. Mbeya hakuna hoteli ya maana hata chembe. The man is right. Lakini pia hakuna hata recreation points. Ni majivuno, uwongo, umbea, wivu, ukabila, uchawi na ufusika - MWISHO!

Angalia hata wewe unachokifanya hapa. Ungelikuwa unapenda kweli, ungeulizia na kuomba ushauri nini mbovu, na kisha ukawashauri hao wa kukaja, namna ya kuboresha mambo. Angalia hata uwanja wa ndege wa songwe kama kiwanja cha kuchezea ngoma wakati wa mavuno!.

Kwanza unatia hofu kubwa sana mtazamo wako juu ya maendeleo. Hivi kweli unaweza kulinganisha mbeya ambayo imepewa hadhi ya jiji kwa kulazimisha kwenu na kasulu ambayo ni ka wilaya tu?

Mbeya hakuna kitu hadi mtakapokubali kwamba mko chini na mhnahitaji mawazo mapya kutoka kwa wageni.
 
Kama ungekua umesoma geography vizuri ..hakuna cha kucheka hapo..by then technology ilikua hovyo sasa..technology imeadvance ndo maana watu wameruhusiwa kujenga zaid yaghorofa tatu pale mbeya..

Maendeleo siyo lazima magorofa. Unaweza kujenga magorofa yakawa kama viota vya ndege. Mbeya wanahitaji exposure. Shida ni watu wabishi, washamba, wanaodhani wako juu na zaidi ukabila kwamba wakipokea mawazo kutoka kwa wageni, watakuwa wanawafaidisha wale wageni. Mbeya wako tayari kuishi utumwani chini ya mtu wa kwao kuliko kuishi maisha yenye kuwaongezea muda wa kuishi wakiwa chini ya Mtanzanai mwenzao asiyekuwa mwenyeji wa mbeya.

Mbeya ni shida, siyo kidogo!.
 
Nilihuzunika sana Diamond alisema Mbeya hakuna hotel yeye yenye hadhi yakufikia.
Kwanini ametudharau hivyo? Nayeye wa kwanza kuimba anatoka Mbagala.
Je hapigi show vijijini?

Je huko analala hotel gani?

Je Kasulu na Mbeya wapi kuna hotel nzuri?
Taja basi hizo hotel ambazo zipo siyo kulalamika hapa.
Usije ukasema Royal Tugimbe ya Mbalizi nayo Hotel
 
Back
Top Bottom