Diamond Platinum na ALIKIBA wamekutana na kumaliza tofauti zao za muda mrefu

Kiba haaminiki kesho akiamka vibaya majini yake yanamtuma kulekule
 
Wamekutana wapi wakati mpaka jana Diamond alikua Canada huko
 
Niliwahi kuandika humu iko siku hawa jamaa watapatana nilitukanwa ..
 
Mmmh.....good strategy. Hii dunia sio lazima kupata kwako wengine wakose. Mnaweza kupata wote na mambo yakaenda "muswano" tu.
 
atakayeshindwa kujua hii ni photoshop nae atakua na matatizo yake
 
Niliwahi kuandika humu iko siku hawa jamaa watapatana nilitukanwa ..
Nina wasisi sana na jinsi mwaliko ulivyotoka kwa mondi na jinsi majibu yalivyojibiwa na kuombwa na kiba kwa kudhamini tamasha jinsi mondi alivyokukari na kuhashitagi bidhaa kadha wa kadha za kwake kwa kuzamiwa na bidhaa moja ya kiba natilia mashaka sana yoote haya.
Ila tusubili muda utatuambia
 
Vi redio na vi tv chonganishi watalala njaa hili beef liliwapa ugali wengi sana
 
 
Kwani alikiba ana bifhaa ngapi?
 
Naona mond na dai wamekutana bifu tupilia kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…