kumbe na mwenzangu umeonaa🙏🙏🙏Kati ya nani na nani ??? Unawahi wapi? Kuna tuzo?
Pichaduka hiyo imetengenezwaNiliwahi kuandika humu iko siku hawa jamaa watapatana nilitukanwa ..
Wachache watagunduaphotoshop,diamond yupo canada,angali background ilivyounganishwa hadi mics,halafu kati yao nani ni mrefu?
Heri ya wenye moyo safi maana hao watalidhi ufalume wa mbinguHeri wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu.....
Sio picha nenda insta ya wasafi TV ..Mond amekubali King K kuwa moja ya sponsorsPichaduka hiyo imetengenezwa
Nina wasisi sana na jinsi mwaliko ulivyotoka kwa mondi na jinsi majibu yalivyojibiwa na kuombwa na kiba kwa kudhamini tamasha jinsi mondi alivyokukari na kuhashitagi bidhaa kadha wa kadha za kwake kwa kuzamiwa na bidhaa moja ya kiba natilia mashaka sana yoote haya.Niliwahi kuandika humu iko siku hawa jamaa watapatana nilitukanwa ..
sina kumbukumbu kama nimeandika neno bifu hapoKimsingi bifu halikuwepo kwa wakali hawa wawili,ila lilikuwepo miongoni mwako na watu wa namna yako.
Baada ya kuwa katika upinzani wa muda mrefu, hatimaye wasanii nyota nchini Tanzania, Diamond Platinum na ALIKIBA wamekutana na kumaliza tofauti zao za muda mrefu.
Hatua hiyo imepokelewa kwa furaha na mashabiki wa pande zote mbili ambao wengi katika mitandao ya kijamii wamepongeza hatua hiyo.
Hivi karibuni, msanii Abdul Nasib maarufu kama Diamond akizungumza na waandishi wa habari, alimkaribisha mwenzake Alikiba kujumuika naye katika Tamasha La Wasafi 2018 linalotarajiwa kuanza Novemba 24.
Lakini katika kuonesha wawili hao wako tayari kufanya kazi kwa pamoja, Alikiba alijibu kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa amepokea mwaliko huo lakini kutokana na muingiliano wa ratiba yake ya kuzindua bidhaa yao ya Mofaya hataweza kushiriki na badala yake ametangaza kudhamini tamasha hilo kupitia bidhaa hiyo.
View attachment 926187
Kwani alikiba ana bifhaa ngapi?Nina wasisi sana na jinsi mwaliko ulivyotoka kwa mondi na jinsi majibu yalivyojibiwa na kuombwa na kiba kwa kudhamini tamasha jinsi mondi alivyokukari na kuhashitagi bidhaa kadha wa kadha za kwake kwa kuzamiwa na bidhaa moja ya kiba natilia mashaka sana yoote haya.
Ila tusubili muda utatuambia
Kama walivyochezwa na Uwoya kwa Dogo Janga.Hakuna Bifu lolote wabongo ni watu wa ajabu Sana mnachezewa akili mnaingia kingi