Angalau Jina la Tanzania litatanjwa mwaka huu kwenye michuano ya afcon inayofanyika nchini Gabon.
Msanii diamond atatumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michuano hiyo , huku wenyeji Gabon wakichuana na Guinea Bissau.
Timu ya taifa ya Tanzania taifa stars ilishindwa kufuzu michuano hiyo
Wewe unapata hasara gani?We unafaidika na nini hapo
We kwel hujui tunafaidika nin??? Umburura auWe unafaidika na nini hapo
Mbona una jazba?Haters mnakaribishwa kwenye maisha halisi,sio blah blah.Jamaa yeye anapiga pesa tu.
Karibuni ktk maisha halisi sio Instagram.Mbona una jazba?
Diamond ndie mwanamuziki mwenye akili kuliko mwanamuziki yeyote Bongo.
Basi sawa, Let me supercede akili to juhudiAkili?? Pengine ulimaanisha juhudi.
We unafaidika na nini hapo[/QUOTE
Tanzania kutajwa ktk halaiki ya watu km hivi "Ladies and Gentleman the artist from Tanzania Diamond Platinum is here to open the challenge are you reeeeeeeedyyyyyyyy"