darren gold
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 312
- 185
much respect kwake,nilidhani anaenda kucheza footballAngalau Jina la Tanzania litatanjwa mwaka huu kwenye michuano ya afcon inayofanyika nchini Gabon.
Msanii diamond atatumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michuano hiyo , huku wenyeji Gabon wakichuana na Guinea Bissau.
Timu ya taifa ya Tanzania taifa stars ilishindwa kufuzu michuano hiyo
Ungemuambia tuu "kuna watu wanafanya juhudi kupiga puli/kukojoza mikono yao"Sasa utafanya juhudi bila akili????
[emoji38] eti, mnaperform..Ngoja tufuatilie wametumia vigezo gani kumpa Diamond apaform,sisi tunapaform sehemu nyingi ila hatupendi kujionesha.
Muongo wewe pengine ukuangalia show au umeamua kudanganya kwa mapenzi yako binafsi.Ww ni kati ya wale watu hua wanaroga wafanyakazi wa serakli kisa tu kaleta maendeleo ya kujenga daraja au barabara mtaani kwenu
Show kapiga hadi ayatou kasimama kwenda kwenye ukumbi kushangilia na kumpongeza
Machungu yakizidi muone drMuongo wewe pengine ukuangalia show au umeamua kudanganya kwa mapenzi yako binafsi.
Yemi Alade na Flavour walipiga kitu live kabisa pale...Dimond kapiga kwa Semi live na wakati mwingine kwa Play back muda mwingi alitumia kwenye kucheza badala ya kuimba.
Usipotoshe umma kwa maslahi yako binafsi wote tulishuhudia.
Inawezakana hujui, unachotaka sio wengine wanachotaka. Maana kama ni kuimba zaidi ,wangeialika choir ya mt. Joseph ili wakaimbe liveMuongo wewe pengine ukuangalia show au umeamua kudanganya kwa mapenzi yako binafsi.
Yemi Alade na Flavour walipiga kitu live kabisa pale...Dimond kapiga kwa Semi live na wakati mwingine kwa Play back muda mwingi alitumia kwenye kucheza badala ya kuimba.
Usipotoshe umma kwa maslahi yako binafsi wote tulishuhudia.
Nmependa jbu lako, nimecheka sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe unapata hasara gani?
Mwanamuziki?[emoji18]Diamond ndie mwanamuziki mwenye akili kuliko mwanamuziki yeyote Bongo.
Wewe unaongea ukweli kwa maslahi ya nani?Muongo wewe pengine ukuangalia show au umeamua kudanganya kwa mapenzi yako binafsi.
Yemi Alade na Flavour walipiga kitu live kabisa pale...Dimond kapiga kwa Semi live na wakati mwingine kwa Play back muda mwingi alitumia kwenye kucheza badala ya kuimba.
Usipotoshe umma kwa maslahi yako binafsi wote tulishuhudia.
Kwa maslahi ya Madale.Wewe unaongea ukweli kwa maslahi ya nani?
Sijui ulitaka kusemaje mkuu.Inawezakana hujui, unachotaka sio wengine wanachotaka. Maana kama ni kuimba zaidi ,wangeialika choir ya mt. Joseph ili wakaimbe live
Oke Zari.Machungu yakizidi muone dr
Tunapaform Mombasa,Mombasa,Mombasa,Fiesta,Mombasa na Mombasa,ILA HATUPENDI KUJIONESHA.[emoji38] eti, mnaperform..
wewe huyo na nani mnaperform sehemu gani hizo mbalimbali eti..!
Kweli mna muda mwingi, mmeangalia show yake, amemaliza sasa ni zamu ya kuangalia vigezo.. basi sawa, mkimaliza tafuteni na kipato mtatuletea data..
We kwel hujui tunafaidika nin??? Umburura au
Sijui ulitaka kusemaje mkuu.
Ngoja niendelee kusoma zaidi.
Poa Zari nimekuelewa.Diamond anawachezesha nusu uwanja.