Diamond platinumz achukua nafasi ya taifa stars

much respect kwake,nilidhani anaenda kucheza football
 
Ngoja tufuatilie wametumia vigezo gani kumpa Diamond apaform,sisi tunapaform sehemu nyingi ila hatupendi kujionesha.
[emoji38] eti, mnaperform..
wewe huyo na nani mnaperform sehemu gani hizo mbalimbali eti..!

Kweli mna muda mwingi, mmeangalia show yake, amemaliza sasa ni zamu ya kuangalia vigezo.. basi sawa, mkimaliza tafuteni na kipato mtatuletea data..
 
Ww ni kati ya wale watu hua wanaroga wafanyakazi wa serakli kisa tu kaleta maendeleo ya kujenga daraja au barabara mtaani kwenu

Show kapiga hadi ayatou kasimama kwenda kwenye ukumbi kushangilia na kumpongeza
Muongo wewe pengine ukuangalia show au umeamua kudanganya kwa mapenzi yako binafsi.

Yemi Alade na Flavour walipiga kitu live kabisa pale...Dimond kapiga kwa Semi live na wakati mwingine kwa Play back muda mwingi alitumia kwenye kucheza badala ya kuimba.

Usipotoshe umma kwa maslahi yako binafsi wote tulishuhudia.
 
Machungu yakizidi muone dr
 
Inawezakana hujui, unachotaka sio wengine wanachotaka. Maana kama ni kuimba zaidi ,wangeialika choir ya mt. Joseph ili wakaimbe live
 
Wewe unaongea ukweli kwa maslahi ya nani?
 
Inawezakana hujui, unachotaka sio wengine wanachotaka. Maana kama ni kuimba zaidi ,wangeialika choir ya mt. Joseph ili wakaimbe live
Sijui ulitaka kusemaje mkuu.

Ngoja niendelee kusoma zaidi.
 
[emoji38] eti, mnaperform..
wewe huyo na nani mnaperform sehemu gani hizo mbalimbali eti..!

Kweli mna muda mwingi, mmeangalia show yake, amemaliza sasa ni zamu ya kuangalia vigezo.. basi sawa, mkimaliza tafuteni na kipato mtatuletea data..
Tunapaform Mombasa,Mombasa,Mombasa,Fiesta,Mombasa na Mombasa,ILA HATUPENDI KUJIONESHA.
 
Inamaana Watu zaidi Ya Elfu 40 watamuona diamond live? Na watu zaidi ya Millioni ngapi watamuona Kupitia Luninga? Diamond anaperform Mara ya Piliii duuuuu shikamoo diamond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…