sostenes mbwelwa
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 289
- 139
Kumbe zilikua zinauzwa mia mbili kwa hyo hiyo mia ndie yake kwa ajili ya kutangaza?Watanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
HahahahaAli Kiba anazo karanga zake mda mrefu tu sema hapendi show off
Roho mbaya, ndio maana bado uko masikini
20*30=200
Jamaa una wivu sanaWatanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
Kuna shida gani mbona ni jambo la kawaida sana,,,, hapo Diamond kainunua hiyo biashara na brand kwa hiyo hata akiwa anapata 150 basi kwakwe ni faida kubwa sana.... Hakika Diamond ana akili sana... hata kama hizo karanga zilikuwepo toka miaka 10 mtaani lakini ni baishara yake sasa anaifanya kinacho jalisha ni yeye kuingiza Tsh hata kama ni kwa gawio...Watanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
Kweli kabisa wengi wasichojua hii biashara ina tajirisha haraka sana kuzidi hata zile kubwa..safi sana biashara nzuri hii hasa ukizingatia mashabiki wake weingi ni watu wa kawaida.
Kweli kabisa wengi wasichojua hii biashara ina tajirisha haraka sana kuzidi hata zile kubwa..
Diamond kapiga hatua kubwa sana hata kama kainunua hiyo biashara
Thank youmash allah princess.