Diamond Platinumz Amerudiana Na Wema Sepetu Kwa Mara Nyingine


Walewale una tafsiri vipi kupendana?
 
za chini znadai UWOYA ana ngoma,therefore if Uwoya ana ngoma,what about Diamond alifumwa na Uwoya hotelini..
na if diamond anao what about wema,penny,naj.?
 

wimbo ulikuwa ni Ukimwona syo namba 1..msiwe mnajiongelea tu kwa vile watu haWakuwepo
eneo la tukio
 
Bila shaka watakua wasanii wa muziki hawa. ama sio wana jf?
 
wimbo ulikuwa ni Ukimwona syo namba 1..msiwe mnajiongelea tu kwa vile watu haWakuwepo
eneo la tukio

wewe jamaa utakuwa una matatizo ya akili kwahiyo unataka kutuambia hapo leaderz ulikuwa wewe diamond na wema tu? acha kubishana na watu waliokuwepo....basi kwa akili zako zilivyokuwa fupi unaweza kutuambia zile picha umepiga wewe.....
 
Daimond ana joint mpya titled as WEMA so simply they'r creating a stunt 4 the joint cuz nah body knows hii ngoma inahusu labda walio karibu nao but i don think wamerudia tukio lilikua km utani flan ivi,mtazamo wng tu lkn.
 
Haha wema anampenda sans Diamond duuu kweli ni sukari ya warembo
Penny hajambo na team yakee
 
Tatizo kubwa la baadhi ya wabongo ni wivu na roho mbaya kwa mafanikio ya wabongo wenzao. Hatuna tabia ya kutukuza kilicho chetu na ndio maana siku zote hatufanyi vizuri pale watz wenzetu wanapohitaji kura kwenye mashindano kama Tusker Project Fame au Big Brother. Sio tz au nje ya nchi tena, kwa wale mastaa wa kimataifa.....lazima tukubali wasinii kama Diamond na Wema hawaishiwi vituko vya namna hii, na hii ndio raha na burudani ya wasanii wenye mvuto kama hawa wawili. Mimi sio mshabiki wa Diamond au Wema, lkn kiukweli hawa vijana wana mchango mkubwa sana ktk tasinia hii wa muziki na filamu. Vile vile lazima niwe mkweli, Wema ni mashallah kwa mwanadada wa kutoka naye outing. She is sweet kutokana na mautundu yake. Vile vile kwa Diamond ana mambo kama ya Wema. Na huu ndio usanii kipaji cha hawa watu. Ni kweli vile vile kuwa nobody is perfect, mapungufu waliyonayo Wema na Diamond ni ya kibinadamu kama wachangiaji ktk thread hii sema wao hawajulikani au hata kama wanajulikana basi hawana mvuto kama vijana/wasanii hawa...! Kwa kunalizia, nasema, Diamond anaweza kwenda kusini, Kaskazini, West au east lkn mwisho atarudi kwa Wema...! Jamani Diamond is a super staa, anatakiwa kuwa na msichana na Wema ambaye also ni super staa lkn catchy and sweet kama Wema.........!
 
Cku zote penz halishauriki na ukiona wapenz wanagombana shika jrmbe ukalime ukijitia kutoa lako kwa nia yakushaur au kuponda utaumbuka bureee
 
who are they really; makabrasha yangu ya vitabu na Articles hapa siwaoni? who are they?
 
Mastaa wa Bongo wapewe haki yao...kama wanatia bidii kwa usanii wanafaa wapongezwe na bila kuwafanyia madharau
 

nahisi wote tabia zao zinafanana, ila mkuu angalia yule jamaa anaejiita jina kama la mdada flan humu jukwaani ila kalibadili kule mbele cjui heaven on wat asikusikie achelewi eti ume pm kuomba connection za dai
 
Ile Mimba Ya Peny Iliishia Wapi? Hao Wanatafta Kiki Tu Kwenye Media Za Erick Shigongo
 
nahisi wote tabia zao zinafanana, ila mkuu angalia yule jamaa anaejiita jina kama la mdada flan humu jukwaani ila kalibadili kule mbele cjui heaven on wat asikusikie achelewi eti ume pm kuomba connection za dai

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha......atakua ataesema hvyo hata kua mpuuzi kweli, za nini?
 

wema na diamond kati yao hakuna ambaye yuko mentally fit ukijaribu kuwafatilia.

Kabla ya show ya leaders diamond akihojiwa na dulla fnl ya eatv aliulizwa kuhusu penny akasema ataoa.

Kwa maneno waliosemana kipindi wanaachana ni ngumu kudhani wangali rudiana.

Hahahaha ndio watu wa amini kuwa diamond na wema ni waongo sana.

Penny aliingia mkenge hakika.

Sasa waulizeni hile movie walio act wakiwa china inatoka lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…