Diamond Platinumz Amerudiana Na Wema Sepetu Kwa Mara Nyingine

Diamond Platinumz Amerudiana Na Wema Sepetu Kwa Mara Nyingine

Bibi" wema" na mjukuu" domo" but hakuna shida!! Kizazi cha nyoka!!!!!! Aiseee ila hawa jamaa ni wachafu sana ptuuuuu!!!
 
BASATA tafadhalini kama mliweza kumuandikia barua ya onyo nay wa mitego kwa milegezo yake ya aibu.
Tafadhalini sana na huyu dogo pamoja na huyo wema nao wapewe onyo la utovu wa nidhamu how comes kwenye party ya watoto wadogo wafanye/watangaze mambo hayo ya kipuuzi.
Wazazi wengi waliopeleka watoto kwenye ili show ya watoto pale leaders siku hiyo walighafilika sana hawakutegemea watoto wao wakutane na mambo yale ya kuonyeshwa live mchumba wa daimond.
Itakuwa vizuri nao wapewe adhabu ili ajifunze vitu gani vya kuongea kwenye hadhira gani.
Hadhira ya watoto na uchumba wao ni big no. Wangetafuta hadhira nyingine isiyokuwa na watoto.
 
Walewale una tafsiri vipi kupendana?
We mewnzetu unatafsirije. Waache Wema na Diamond, wote wawili hawana wenzi (Mume/ Mke) na wanaweza kuwa couple nzuri wakioana kama Beyonce na Mume wake!
 
Ukitaka kujua wengi wa wanawake wa kibongo uwezo wao wa kufikiri hata kama wamesoma tazama reaction yao linapokuja suala la Diamond na Wema na yule mke wa mzungu mwenye unnecessary show offs,labda ni uhaba wa role models
Unnecesary show off?nchi ya democrasia hii kila mtu ana uhuru,we kama mtu anakuboa mpotezee ucmfuatilie,mwache aish maisha yake nawe ishi yako uliyoyachagua
 
Tuwaache wafanye yao wanajuana wenyewe..tunayetu meng tu yanatushnda na hatupend kuingiliwa ivo tuwaache wanaelewana wenyewe
 
We mewnzetu unatafsirije. Waache Wema na Diamond, wote wawili hawana wenzi (Mume/ Mke) na wanaweza kuwa couple nzuri wakioana kama Beyonce na Mume wake!

Kwi kwi kwi JF raha...watoto wa ki dotcom yale yale hawanaga maisha halisi yani ni Kuiga tu..kama fulani na fulani.
 
Tuwaache wafanye yao wanajuana wenyewe..tunayetu meng tu yanatushnda na hatupend kuingiliwa ivo tuwaache wanaelewana wenyewe

Afande Sele akaimba "mimi ni msaanii kioo cha jamii" hivi ulimuelewa
 
kwa hiyo diamond ndo katulia?
namuonea huruma diamond
coz wema ni KAHABA anayeangalia how weight of your wallet is? na hana
mapenzi ya kweli huyo KAHABA,CHANGUDOA,WALI WA HARUSI anatafuta antetion
ya vyombo vya habari!!!!!
 
ana haki ya kikatiba kufanya yote anayofanya...mwache muke ya muzungu afanye yanayomfurahisha...haupotezi chochote
Ukitaka kujua wengi wa
wanawake wa kibongo uwezo wao wa kufikiri hata kama wamesoma tazama
reaction yao linapokuja suala la Diamond na Wema na yule mke wa mzungu
mwenye unnecessary show offs,labda ni uhaba wa role models
 
Sasa hiv tu utasikia yupo na Jokate chezea sukari ya warembo
 
Diamond amebugi kweli,wema ni bingwa wa kusagana bingwa wa kubadilisha mabuzi namuonea huruma domo
 
Aliwahi kusagana na jack wolper kabla hawajagombana,aunt ezikiel,kajala na madem kibao
 
Diamond amebugi kweli,wema ni bingwa wa kusagana bingwa wa kubadilisha mabuzi namuonea huruma domo
Mimi
Acha wivu wewe, mbona unapenda kuchafua wengine? yako mbona hatusemi? Wema na Diamond ni watu wazima na akili zao....maisha ni mafupi sana, baadae tutakufa!!! Let them enjoy and leave them only. Watz kwa wivu balaaaaaaaaa. .
 
Last edited by a moderator:
Mimi
Acha wivu wewe, mbona unapenda kuchafua wengine? yako mbona hatusemi? Wema na Diamond ni watu wazima na akili zao....maisha ni mafupi sana, baadae tutakufa!!! Let them enjoy and leave them only. Watz kwa wivu balaaaaaaaaa. .

Husinichekeshe,nimuonee wivu kwa kua anasagana?
 
Last edited by a moderator:
[TABLE="class: outer_border, width: 500, align: left"]
[TR]
[TD]wahenga walisema mapenzi ni uchafu!
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]waacheni waendelee kuchafuana!
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom