Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Wadau nimeshuhudia ngoma mpya Waje kamshirikisha Diamond mtv base.

Ni hatari sana. Di ni habari nyingine aise.

Cc. Chinga One et.al
diamond ni heshima.

Aisee ni ile ngoma aliyo kua ana inadi instagram?
 
Last edited by a moderator:
Ngoma kali sana ile... niliiangalia Youtube hadi bundle ikakata manake ilikuwa ni mwendo wa kuuchungulia kila wakati!!!

Ngoma ina itwajwe hiyo mkuu? Nataka nikaichungulie you tube.
 
Maisha yana songa huyu jamaa hatari sana huwa hana time na vijineno neno vya mitaani.
Hapa ndipo anapoonesha ukomavu wake... na kama ingekuwa ni mtu wa kutingishwa na scandals za wenza wake, huyo Wema angekua kaachana nao toka kitambo!!
 
Hapa ndipo anapoonesha ukomavu wake... na kama ingekuwa ni mtu wa kutingishwa na scandals za wenza wake, huyo Wema angekua kaachana nao toka kitambo!!

Hii habari ya diamond kunusurika kuchomwa kisu ni ya kweli au ni uzushi wa bamaga?
 

Attachments

  • 1417928111474.jpg
    119.9 KB · Views: 173
Hii habari ya diamond kunusurika kuchomwa kisu ni ya kweli au ni uzushi wa bamaga?
Shigongo tu huyo na biashara zake za magezeti... kwanza hiyo picha inayoonesha jamaa mwenye kisu yupo karibu na Diamond imefanyiwa photoshop. Ingawaje jamaa alikuwepo kwenye msafara, lakini hizo ni picha mbili tofauti zimeunganishwa.
 
Shigongo tu huyo na biashara zake za magezeti... kwanza hiyo picha inayoonesha jamaa mwenye kisu yupo karibu na Diamond imefanyiwa photoshop. Ingawaje jamaa alikuwepo kwenye msafara, lakini hizo ni picha mbili tofauti zimeunganishwa.

Kweli aisee halafu jamaa yuko kwenye baiskel....swali la kujiuliza kwenye umati mkubwa wa watu namna hiyo waweza endesha baiskeli comfortable kama hivyo?
 
Natafuta kideo ya zari iliyo leak kama kuna mdau anajua atupe link please
 
Topics covered:
  • The Zari_Diamond Project
  • Nitampata Wapi Video
  • Melissa (Video Queen wa Nitampata wapi)
  • Wema_Penny Stuffs
  • Jose Camelione

Kwa wale ambao hawajaiona, hii ni interview ya Diamond ya siku za karibuni ambazo amezungumzia kwa kirefu video ya Nitampata Wapi huku akiendelea kuwafanya watu watoto kuhusu project yake na Zari!!! Mrembo wa Nitampata Wapi akataka ku-beep Watanzania, ingawaje hadi interview hii inafanyika, Instagram account yake ilikuwa haijafahamika, majuzi Chibu alitoa instagram account na bi mdada siku hiyo hiyo akalazimika kuiweka account yake private kwa muda baada ya kunyeshewa na mvua ya followers wa kibongo!!!
<strong>
 
Last edited by a moderator:
mko wapi humuuu jamani kule wanatongozana now na kugawa vipi? wanamshauri nini kiba
 
Hawana lolote wale tim kibaaaaaa...


Promo za daimond kwa idris zmesababisha ashindeeeede
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…