Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Waue waue.....wewe do President wa Bongo Musics,et wanamwita King...hahaha...utawala wa kifalme ulikua zamaaani lakini sasa hivi urais ndo habari ya mjini.
The Dr 3 Diamonds.....Nenda ukamwambie....tatizo kwetu mbagala.....Nitarejea....uwiiiii.....shida kweli....sisi hatujui Cindellera ni nani na hatujui km asharudi kwao kigoma....
Basi ngoja Mwana aje atuoneshe how to do Ngololo....just mdogomdogo tu mwana..au hujui utampataje?...Hahahah....ni rahisi sana jaribu kutofautisha "X" na kuzidisha...Msalaba na kujumlisha....Mwana ujui huyu ni raisi aliyemshinda Ibilisiiiiiiii.......

daaah hatari aisee
 
Ujue mfuta vumbi alikosea sana hesabu....yaani alivokuaga kakaa kimya ilikua bora sana....sasa tatizo akawasikiliza wapuuzi ambao wao waliongozwa na chuki ya mafanikio ya 3D,,akaingia mzima mzima akidhani wenye kumchukia rais ni wengi kuliko wampendao.....akajitia eti ze konyo konyo of the konyo hahaha.......watu wakamwambia wait a minute,do you mean to start a war with someone who's command in chief???? Kweli kabisa unataka pambana na rais kweli ambae ana jeshi kuanzia mgambo mpaka wanamaji??? Ndo akapigwa 3 bila mchana kweupeeeeee!!!! Kama ana akili its time aache kuwasikiliza wapuuzi afanye kazi kwa kujituma na wala asijiingize ktk mkumbo wao aseeeeee...

Lakini akiendelea kuwasikiliza wapuuzi ataendelea kuishia leaders wenzake ndo washaanza kuikamata Uganda(hakuna soko gumu kimuziki kama Uganda kwa east Africa maana wanathamini na kupenda vya kwao)

Ni hayoo tuu

ha ha ha maneno yanaua ujue!!!
 
hivi mleta uzi unajiskia amani kabisa kuleta mada yenye kichwa cha habari HASI??
 
far away, dushelele, kidela n.k Pia kuna pini lake nimeliona leo asubuhi linaitwa "sex mama" jamaa humo kaimba kwa lugha ya malkia kama r kely vile.

huyu si haimbagi mapenzi huyu?? sex mama??? unamsingizia kaka wa watu kwanza hapendi show off
 
huyu si haimbagi mapenzi huyu?? sex mama??? unamsingizia kaka wa watu kwanza hapendi show off

Huu wimbo alitengeneza ili kuwaonesha kua anauwezo wa kugonga kotekote. Alivyotembea juu ya beat kali, lugha ya malkia aliyotumia ni "unbelivable", usipokua makini unaweza dhani R Kelly katoa ngoma mpya.
Tafuta huo wimbo na nakuahidi hutajuta kupoteza bando lako kama kipindi kile cha iyanya na yule dogo wa tandale.
 
mtoa mada hajielewi huyo anajua watu kila sehemu wana endekeza hostility,lengo lake ni kuona fans wa kiba na diamond wana rushiana maneno hapa kumbe wenye akili wamesha mshtukia wana muona kinyago tu.
Huyo jamaa ni kati ya watu ambao, tofauti na mashabiki wengine wa Kiba, huyo Somji huwa anaonesha chuki ya wazi wazi dhidi ya Diamond... yaani huyu ni aina ya wale wapumbavu ambao wanataka ili mtu wao apande basi lazima aliye juu ashushwe.
 
hivi mleta uzi unajiskia amani kabisa kuleta mada yenye kichwa cha habari HASI??
Fuatilia posts zake zote kuhusu Diamond ndipo utamgundua ni mtu wa aina gani! Huyu jamaa nina uhakika hata asikie Chibu leo amekufa, trust me, atafurahia!
 
Hana ubunifu kwenye uandishi. Almost
Kila nyimbo lazima alitaje jua
Karibu tuwasikie wadau:
This song is so exotic for me. Tanzania your music is sooooooo beautiful. Argghhh. I wanna be TANZANIAAAAAN. From today I am not Nigerian anymore ....Gotta learn Swahili. ... I have no clue what they are singing but it sounds so sweet to my ears..sounds like ...tangata tanga wani wani, kuni kuni, so cute language by JoStylin
LATOYA FOREVER BROUGHT ME HERE, THE GIRL IS GORGEOUS, SONG IS NICE EVEN THOUGH I DON'T UNDERSTAND THE WORDS. By debbiedelight7
Yes Karen I wish he was a Kenyan we would have accorded him the VIP status he so deserves by dalidzu cheredi
I am a Nigerian based in France and got to know about this talented soul through his featuring with Davido. Though I dont understand swahili which I intend learning soon through my Mayotte girl friend I bet this song is a bomb. I love the chorus so much "Kuchali, cho kali" loool. One love to you Diamond and to all Tanzanian guys and ladies by Debel Ajiboye
Great song.Can't resist no matter how many times I have to listen to it.I guess I should just cross the border from kenya to TZ.Anyway listening to you bruv from UK.Nyimbo "tamu"
I really love this song even though i can't even understand one bit of what he's saying. but that girl though..... is she Mixed or what? she's so damn pretty Masha Allah. Love from a Somali sister by
Huyu jamaa ameshawashitukia:
Judging from the comments, some people from TZ are petty and bitter with the success of their fellows. This guy is trying to break into the international market. He has to use ideas that can be accepted by many. How many videos has he done with black ladies? Quite a number!! Let the whole world experience Bongo!! We are starting to love Bongo coz of Diamond. by Clide Otieno


Views 901, 900 in two weeks!
 
Last edited by a moderator:
Karibu tuwasikie wadau:
Huyu jamaa ameshawashitukia:

Views 901, 900 in two weeks!


woooowww watu wamataifa ya nje wenyewe wanatamani wawe watanzania just bcoz of diamond halafu sisi wenyewe tuna jenga chuki za ajabu ajabu mwe! aibu kwetu watz tusipo wapenda wa kwetu.
 
Last edited by a moderator:
Karibu tuwasikie wadau:
Huyu jamaa ameshawashitukia:

Views 901, 900 in two weeks!


woooowww watu wamataifa ya nje wenyewe wanatamani wawe watanzania just bcoz of diamond halafu sisi wenyewe tuna jenga chuki za ajabu ajabu mwe! aibu kwetu watz tusipo penda vya kwetu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom