Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

kuchokonolewa hivi nalo limekuwa neno gumu? sasa ulitaka asemaje? hili la uswahili na roho mbaya kupenda ugomvi ndio tunaweza! labda wapo watakao kusupport ulicho kiandika huu ndio UZANDIKI
 
Schedule ya Diamond na show zilizokuwa confirmed tayari
 

Attachments

  • 1417696961136.jpg
    1417696961136.jpg
    35.4 KB · Views: 90
Kamchokonoa vp tena?
Ukweli imekuana nongwa leo hii !

Jenga picha kwene tunzo izo za chanel 0 ingekuwa hivi,

Chibu tunzo 1
Vannesa Tunzo 1
Kiba tunzo 1
Rich tunzo 1

Ni furaha kiasi gani tungepata watanzania sie? Na kiasi gani tungekuwa tumejitangaza?

aiseee ingekua shiiiidddddaah
 
Hiyo cha mtoto Kiba na Meneja wake Matola wana show kama mia hivi ndani ya December.. Yani kila siku show tatu

Sijamuongelea Kiba hapa...
Anyways no evidence no right to speak, piga kimya ka una habari za kusikia hapa tunaweka habari "confirmed"
 
Schedule ya Diamond na show zilizokuwa confirmed tayari

Sasa kama watanzania tusingekua na chuki bhasi huku nako dimpoz mavoko na wengine nao wangekua na tour za kutosha na tunawapa moyo na sio kuwagombanisha kipumbavu....
Bravo kwake na management yake aseee
 
Sijamuongelea Kiba hapa...
Anyways no evidence no right to speak, piga kimya ka una habari za kusikia hapa tunaweka habari "confirmed"

Hahaha polepole mkuu jamaa mwenzetu bhanaa sema hilo ni dongo kwa mtaa wa saba
 
Sijui nani katuloga! Mnapenda sana viji ugomvi dot com, aliyoyaongea Diamond ndo alichomaanisha, hakuna maana nyingine ya maneno hayo, ni nyie tu na uswahili wenu
 
sasa hapo kamchokonoa vp mbn umesema ally kiba tu si jaguar wala ommy d wabongo acheni umbeyaaaaaa jaman sapotini hawa wasanii waende mbali
 
Sonetimes tuweke ushabiki pembeni tuongee fact.Sasa hapo ali kiba kachokonolewa wapi?

mtoa mada hajielewi huyo anajua watu kila sehemu wana endekeza hostility,lengo lake ni kuona fans wa kiba na diamond wana rushiana maneno hapa kumbe wenye akili wamesha mshtukia wana muona kinyago tu.
 
Back
Top Bottom