WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,433
- 1,442
Waue waue.....wewe do President wa Bongo Musics,et wanamwita King...hahaha...utawala wa kifalme ulikua zamaaani lakini sasa hivi urais ndo habari ya mjini.
The Dr 3 Diamonds.....Nenda ukamwambie....tatizo kwetu mbagala.....Nitarejea....uwiiiii.....shida kweli....sisi hatujui Cindellera ni nani na hatujui km asharudi kwao kigoma....
Basi ngoja Mwana aje atuoneshe how to do Ngololo....just mdogomdogo tu mwana..au hujui utampataje?...Hahahah....ni rahisi sana jaribu kutofautisha "X" na kuzidisha...Msalaba na kujumlisha....Mwana ujui huyu ni raisi aliyemshinda Ibilisiiiiiiii.......
The Dr 3 Diamonds.....Nenda ukamwambie....tatizo kwetu mbagala.....Nitarejea....uwiiiii.....shida kweli....sisi hatujui Cindellera ni nani na hatujui km asharudi kwao kigoma....
Basi ngoja Mwana aje atuoneshe how to do Ngololo....just mdogomdogo tu mwana..au hujui utampataje?...Hahahah....ni rahisi sana jaribu kutofautisha "X" na kuzidisha...Msalaba na kujumlisha....Mwana ujui huyu ni raisi aliyemshinda Ibilisiiiiiiii.......