Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Mkuu watanzania zaidi ya robotatu wana akili kama za wema au lucy komba.. mmojawapo ni diamond and his fellas.. alweys ni kuongea utumbo na kufanya vituko as if ndo mwisho wa safari ya maisha
Dah! Yaani watu wanashangaza sana mkuu... mtu yupo radhi kutetea hadi utumbo...
 
Davido ameandika Kiswahili!?
 
Last edited by a moderator:
Kaandika nn sijaona
Mi nilikuwa nakuona tu shabiki mwenzangu wa Chibu ulivyokuwa unaichukua post ya masai dada mzima mzima... kwa kifupi, alichosema Davido ni tofauti kabisa na hicho alichoripoti huyo masai dada! Ni kweli Davido kazungumza kuhusu mtu usipokuwa na shukurani ipo siku utaanguka lakini akamalizia kwamba yeye wakati wote lazima awashukuru waliomfikisha pale alipo... kwanini alisema hivyo? Aakaendelea kufafanunua kwamba tarehe 27/12 anapiga show ya bure kwa ajili ya kuwashukuru mashabiki wake kwa sababu ndio waliomfikisha pale alipo! masai dada akapotosha na kudai kamsema Diamond...
 
Last edited by a moderator:
Davido ameandika Kiswahili!?
Mkuu hiyo twit wameitia chumvi, hata ile ya awali diamond hakuelewa davido alikuwa amefanya joke akaweka kbs na emotcon kuashiria hakuwa serious akashangaa anatukanwa. Sasa anamshangaa diamond anajidai naye supastaa eti ana biff na davido dogo washauri wake vimeo
 

Mkuu waliomwelewa davido ni wachache wengi wanaomtetea duamond huku akili zao hazitofautiani na wema sepetu au batuli sishangai
 
Last edited by a moderator:
Umeongeaje point muhimu sana haina haja kujiita majina ya mtu ambaye ni mtuhumiwa aliye kua most wanted dunia ikaleta maana nzuri itamuharibia kwa kweli si la kwake linamtosha tena zuri tu

basi Dangote naye ajiite daimondi platinamzi....upuuzi mtupu...
 
Zari kasema ataimalizia akianza project nyingine halafu mnataka kujua mali zake mama yake alimkataza kutaja mali toka wakati alisema ana bil 2 bank ila anapenda kupanga tu haahhaha
 
sio mnaamini kila anachosema mmarekani, kuna watu wanaamini osama bin laden kwao ni hero haijalishi mtamjaji vipi! binafsi osama na mullah omar ni mabrave men kwangu!
 

chige unaongea vizuri mpaka unaboa yeyote anaemtakia mafanikio mondi
yeyote yule ataongea km wewe
japo mimi si mshabiki wa mondi but for this nakuunnga mkono nachelea kusema tunaelekea kubaya hasa daiw
 
Last edited by a moderator:

ALISema vile akirefer na mwaka jana BBA wabongo tukaunga dots tukashusha mitusi
 
Last edited by a moderator:

Huyu masai dada huyu...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu watanzania zaidi ya robotatu wana akili kama za wema au lucy komba.. mmojawapo ni diamond and his fellas.. alweys ni kuongea utumbo na kufanya vituko as if ndo mwisho wa safari ya maisha

ume fail kwenye siasa una hamishia chuki zako kwa diamond kwa mtu mwenye akili ata kupuuza (specialist in failure).....ungeonekana wa maana sana km ungekua unatoa ushauri positive kuliko kushambulia mtu kwa kumkejeli,hiyo title yako iko wazi kabisa haina haja ya kmuelewesha mtu kua una hasira za wazi wazi kwa diamond.

pamoja sana chige somo lako linA eleweka...still niko neutral kwenye hii muvi ya diamond na davido.
 
Last edited by a moderator:
chige unaongea vizuri mpaka unaboa yeyote anaemtakia mafanikio mondi
yeyote yule ataongea km wewe
japo mimi si mshabiki wa mondi but for this nakuunnga mkono nachelea kusema tunaelekea kubaya hasa daiw
Hahahahaha, usinichekeshe geniveros, naongea vizuri hadi naboa!!! Ila niseme tu kwamba, sio tunaelekea pabaya bali tayari tumeshafika pabaya... we're too emotional!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha, usinichekeshe geniveros, naongea vizuri hadi naboa!!! Ila niseme tu kwamba, sio tunaelekea pabaya bali tayari tumeshafika pabaya... we're too emotional!

kweli haihitaji ya chuo kikuu kukuelewa davido ht km anadharau kias gani asingeweza kuandika vile akimaanisha CH.O na BBA
nikiangalia humu mshabiki wa kweli wa daimond ni wewe peke who dare to tell the truth
wengine wapo hapa mamluki tu
 
Last edited by a moderator:
Kwani akijiita Bin la den kuna hasara gani

Ebu tafuten maana ya neno Bin laden

Kumbuken Osama Baba ake aitwi Bin la Den?

Mond Bin Laden 👈hili jina lina swagga Sana nimelipnda
 
Davido kazaliwa USA baba yake nice ni professor kwao hakuna njaa kule kwao ni mtoto wa mbezi beach na siyo tandale
 
kweli haihitaji ya chuo kikuu kukuelewa davido ht km anadharau kias gani asingeweza kuandika vile akimaanisha CH.O na BBA
nikiangalia humu mshabiki wa kweli wa daimond ni wewe peke who dare to tell the truth
wengine wapo hapa mamluki tu
Wengine tunasukumwa na emotions... tumejiandaa kumshangilia tumpendae kwa kila kitu lakini inapotokea downfall, tunaiacha kuwa yake peke yake wakati tuzo tumefurahia wote! Nilitarajia mashabiki wa Diamond wangejifunza kwa mashabiki wa Wema!!! Miezi michache tu hapa mashabiki wa Wema walimjia juu Diamond wakimtaka awaachie Wema wao!!! Muda mrefu haukupita, kama sio drama, Mond akawaachia Wema wao!! Wale wale tena waliokuwa wanamtaka Wema wao sasa ndio wanatapatapa na kuanza kumporomoshea matusi Zari kwavile yupo na Diamond!!! Kikomo cha ujinga wetu kikatimia pale walipoanza kumpeleka mnadani Wema eti na yeye achukuliwe na Ivan!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…