Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Jina la Bin Laden limekuwa popular zaidi kutokana na terrorism .Ukimtajia mtu ilo jina bila kusema zaidi moja kwa moja linajenga picha ya ugaidi kichwani.

Ku-associate na jina la mtu ambaye ameua maelfu ya watu kwa jina la dini lazima utakuwa unaunga mkono aliyofanya.
 
hili pia huwa naliwaza SIJUI SABABU NI IPI
marehemu kanumba (R.I.P ) alifanyia msiba nyumba ya mwanaume mwenzake hapo alikua na almost 10 years katika uigizaji
kaacha kiwanja tu na alikua anapata mkwanja mrefu tu
TATIZO NI NINI JAMANI?????

Pesa za Freemasons hazijengewi nyumba.
 
Sasa hivi diamond platnumz anajiita Monde bin Laden amin amin nawaambieni mziki wa uyu kijana utaishia tandale kama anataka kuvula level za kimataifa atafute majina yenye staha sio yanayopromote magaidi. Over

Sio kwamba kijana ni mshamba, ni mjanja.. Anafanya vitu ambavyo anajua mkivisikia hamtakaa kimya... Siunaona ushamwanzishia thread...?
 
Dai yuko zake mombasa ana show ya maana tu....maisha yanasonga no matter what.
 
Sitarajii kama uhusiano wao unaweza kuvunjika kwa zile Tweet mbili moja kutoka kwa Davido na nyingine kutoka kwa Chibu... I hope they'll clear the air!

Kuna watu wana penda uhusiano wa dai na davido uvunjike ili wapate cha kuongea na wanadhani kama diamond na davido wakigombana labda chibu ataporomoka kimuziki that is a false hope.
 
Sio kwamba kijana ni mshamba, ni mjanja.. Anafanya vitu ambavyo anajua mkivisikia hamtakaa kimya... Siunaona ushamwanzishia thread...?

Really? Aende akabong'oe pale kariakoo saa 7 mchana atakuwa famous zaidi.
 
Angemfanya AY role model wake nadhani angejifunza mambo mengi kuhusu namna ya kuhandle public na kumaintain PR
 
Kuna watu wana penda uhusiano wa dai na davido uvunjike ili wapate cha kuongea na wanadhani kama diamond na davido wakigombana labda chibu ataporomoka kimuziki that is a false hope.

Ingia hapa utapata jibu who is bad?
 

Ona hapa soma comments utakataa kujivunia Utanzania wako, kwakweli najisikia aibu kuna watu wameamuwa kutuchoresha kama Taifa.
 
Ona hapa soma comments utakataa kujivunia Utanzania wako, kwakweli najisikia aibu kuna watu wameamuwa kutuchoresha kama Taifa.

Kiukweli kuna watu hawana busara kabisa na wanatufanya tuonekane wajinga nchi nzima... Sijui niseme nn but it's such a shame
 
Huwa sicomment Insta lakini kwa hili nilitaka kucomment lakini nilijisikia aibu sana nikaacha na isitoshe account yangu Insta natumia jina langu halisi.

Daaaah aibu sana.. Mpaka huu upepo uishe tutabaki uchi.... Maana wapuuzi wachache wsmetuvua nguo...
 
Hahahahaha, usinichekeshe geniveros, naongea vizuri hadi naboa!!! Ila niseme tu kwamba, sio tunaelekea pabaya bali tayari tumeshafika pabaya... we're too emotional!

Not only too emotional ...we are also too insecure.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…