Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Wewe nis shabiki sana unadhani kila anyekosa basi ni adui9, hapan, mimi siyo shabiki wa mwanamuziki yeyote, napoenda nnyimbo zote nzuri na ninajua muziki vizuri sana.

Hiyo video siyo sbatract kama ilivyokuwa number 1 renix ambayo haina stryline, video hii hiyo ina storyline inayojulikana wazi ikiendana na mashairi ya wimbo. Tatizo ni kuwa video ina ina mapengo yasiyoendana na stryline. Nimesoma sehemu nyingine Diamond mwenyewe akikiri kuwa ilibidi warudie tena video kwa vile director hakuwa anajua lugha ya kiswahili kwa hiyo ikawa vieo haindenai na stryline. Pamoja na kurudia bado kuna huo upungufu. Nadhani wewe ni shabiki asiyengalia pande zote za wimbo, unachukua mradi ni wimbo wa Diamond. Iwapo Diamond mwenyewe alikiri mapungufu hayo wewe unatokea wapi.

Usiwe negative hivyo ndugu yangu,na sija ongea kwa namna ya kukuona adui.....by the way kila mtu na uelewa wake so amini unavyo amini na mimi naamini ninavyo amini full stop.
 
Ha ha ha hii nayo kali daah
 

Attachments

  • 1418815604160.jpg
    1418815604160.jpg
    9.8 KB · Views: 381
simply the best, hardworker, utazomea leo and kesho anaenda kwene show akiwa mpya kabisaaa...haijalishi mtakuja wangapi kwene show the performance is always outstanding...He is living what we call a Tanzanian dream..! His approach towards BongoFleva changed the perception of many including those who hate him..!
Mungu mbariki Diamond ( he is in our prayers ).

Tukiwa tunataja nembo za taifa letu tumkumbe diamond ( huaga hasemi " tanzania " anasema " nyumbani " ).
 
Uwepo wa dangote ug kumepelekea Josee chamilion kupunguza bei ya kiingilio kwenye yake ile ya million moja. mpka kufikia laki mbili ya kiganda.
 
Huyo davido nae aache uffala na kujiona bila yeye watanzania wote tungekua mabwege tuu!.. yeye kamkuta diaomond tayari kesharekodi number one na ku shoot video nzuri tu south africa!.. yeye kamkuta diaomnd keshafika south hakumtoa tandale....na diamond nae aache ubwegge wake tunamtetea tu kwa sababu mtanzania mwenzetu ila mbwembwe zake za kike hatuzifagilii wala nini.

safi sana kudadeki hapendwi mtu
 
Diamond anajua sana kufanya biashara. Kamtumia wema kupata umaarufu Tanzania. Sasa hivi anamtumia Zari kupaa Kenya Na Uganda
 
Diamond anajua sana kufanya biashara. Kamtumia wema kupata umaarufu Tanzania. Sasa hivi anamtumia Zari kupaa Kenya Na Uganda

Yap but I think the vice versa is also true. Maana mimi na wengine wengi tumemjua zari kupitia dangote the same to umaarufu wa wema for just being close to him.
 
Back
Top Bottom