Akitoka hapo uganda aende rwanda akamchukue mtoto wa kagame
Kwenye ukwel tunasema ...kwani ni mbaya.????...
Naangalia ukweli bhana
hapo ndio tutakapombadilisha jina na kumuita hayati au marehemu
Hata hvyo nani alimdanganya watu wote wanamwona Zari kuwa mzuri, mwanamke mzuri ni yule anayetulia kwenye ndoa siyo malaya anayeruka na kila mwanaume,,
Tokea lini malaya akawa mzuri?
Akitoka hapo uganda aende rwanda akamchukue mtoto wa kagame
Ngoma ikivuma vuuu vuuu ujue ipo karibia kupasuka...
Msemo wa kanumba katika filam young bilionea
hapo ndio tutakapombadilisha jina na kumuita hayati au marehemu
Then wanaanza kumuombea apumzike kwa amani
Heeee Anafanya wenzie stepping stone......!!!!
kama definition yako ya msichana na mwanamke ambaye hajazaa umekosea sana, msichana ni binti ambaye ni bikira, sasa waweza ona ni jinsi gani ilivyokuwa ngumu kumpata msichana kwa dunia ya sasa, so kujiita msichana ni mazoea tuu lakin ukweli ni kuwa ni wachache sana wenye usichana.
Ngoma ikivuma vuuu vuuu ujue ipo karibia kupasuka...
Msemo wa kanumba katika filam young bilionea