Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Ajabu ya wengine hata ukiwauliza mafanikio ya mtu wanayeamini ndie mfalme ni yapi hakuna hata mmoja atakayekupa jibu... hakuna cha kuonesha!! Wengine wamekuwa wakizungumzia suala la collabo na R Kelly wakati wenye akili zao wanafahamu kwamba collabo ile Airtel wangeweza kumchagua yeyote yule waliyemtaka kwa sababu ilikuwa initiated na Airtel kwa sababu maalum sawa na ile collabo ambayo Diamond amefanya na wanamuziki wengine wa Afrika pamoja na nguli De Banji... ni collabo kwa sababu maalum iliyoandaliwa na wahitaji wa malengo husika!!! Thanks God, mashabiki wa Diamond ni waelewa, au labda ni kwavile wameshazoea mambo makubwa lakini sijawahi kusikia mtu akijivinia collabo ya Chibu, De Banji na wengineo coz' wanafahamu anyone could be picked! Anyway, kwavile wapwa hawana cha kujivunia, haidhur wakiendelea kuonea ufahari collabo na R Kelly ambayo hata Kiba mwenyewe ukimuuliza imemnufaisha nini, sijui kama ana jibu zaidi ya kukutana R Kelly ambae hata hivyo leo hii ukienda kumuuliza ikiwa anamfahamu Kiba, atasema wala hamkumbuki coz' anakutana na watu wengi sana!!!

"Ujiko" mwingine wa wapwa ni kwamba R Kelly alimsifia Kiba kwamba anaimba vizuri... did anyone expected Kelly angeongea vitu negative kwa any of those guys?! I am very certain, credit ambayo aliitoa kwa Kiba aliitoa kwa wengine vilevile!!!

Ndio maan kuna post moja nimewaomba wanitajie idadi ya tuzo za mfalme wao.....diamond kwa tuzo za kimataifa mwaka huu zinafika zaidi ya sita..nikawaomba wao wanitajie hata idadi ya tuzo za king wao hata za kili music awards wajumlishe na ile ya fiesta tuone ni ngapi...

Cha ajabu wanatokwa povu.
 
Ajabu ya wengine hata ukiwauliza mafanikio ya mtu wanayeamini ndie mfalme ni yapi hakuna hata mmoja atakayekupa jibu... hakuna cha kuonesha!! Wengine wamekuwa wakizungumzia suala la collabo na R Kelly wakati wenye akili zao wanafahamu kwamba collabo ile Airtel wangeweza kumchagua yeyote yule waliyemtaka kwa sababu ilikuwa initiated na Airtel kwa sababu maalum sawa na ile collabo ambayo Diamond amefanya na wanamuziki wengine wa Afrika pamoja na nguli De Banji... ni collabo kwa sababu maalum iliyoandaliwa na wahitaji wa malengo husika!!! Thanks God, mashabiki wa Diamond ni waelewa, au labda ni kwavile wameshazoea mambo makubwa lakini sijawahi kusikia mtu akijivinia collabo ya Chibu, De Banji na wengineo coz' wanafahamu anyone could be picked! Anyway, kwavile wapwa hawana cha kujivunia, haidhur wakiendelea kuonea ufahari collabo na R Kelly ambayo hata Kiba mwenyewe ukimuuliza imemnufaisha nini, sijui kama ana jibu zaidi ya kukutana R Kelly ambae hata hivyo leo hii ukienda kumuuliza ikiwa anamfahamu Kiba, atasema wala hamkumbuki coz' anakutana na watu wengi sana!!!

"Ujiko" mwingine wa wapwa ni kwamba R Kelly alimsifia Kiba kwamba anaimba vizuri... did anyone expected Kelly angeongea vitu negative kwa any of those guys?! I am very certain, credit ambayo aliitoa kwa Kiba aliitoa kwa wengine vilevile!!!

Uchambuzi mzuri
 
Ajabu ya wengine hata ukiwauliza mafanikio ya mtu wanayeamini ndie mfalme ni yapi hakuna hata mmoja atakayekupa jibu... hakuna cha kuonesha!! Wengine wamekuwa wakizungumzia suala la collabo na R Kelly wakati wenye akili zao wanafahamu kwamba collabo ile Airtel wangeweza kumchagua yeyote yule waliyemtaka kwa sababu ilikuwa initiated na Airtel kwa sababu maalum sawa na ile collabo ambayo Diamond amefanya na wanamuziki wengine wa Afrika pamoja na nguli De Banji... ni collabo kwa sababu maalum iliyoandaliwa na wahitaji wa malengo husika!!! Thanks God, mashabiki wa Diamond ni waelewa, au labda ni kwavile wameshazoea mambo makubwa lakini sijawahi kusikia mtu akijivinia collabo ya Chibu, De Banji na wengineo coz' wanafahamu anyone could be picked! Anyway, kwavile wapwa hawana cha kujivunia, haidhur wakiendelea kuonea ufahari collabo na R Kelly ambayo hata Kiba mwenyewe ukimuuliza imemnufaisha nini, sijui kama ana jibu zaidi ya kukutana R Kelly ambae hata hivyo leo hii ukienda kumuuliza ikiwa anamfahamu Kiba, atasema wala hamkumbuki coz' anakutana na watu wengi sana!!!

"Ujiko" mwingine wa wapwa ni kwamba R Kelly alimsifia Kiba kwamba anaimba vizuri... did anyone expected Kelly angeongea vitu negative kwa any of those guys?! I am very certain, credit ambayo aliitoa kwa Kiba aliitoa kwa wengine vilevile!!!

We ni kiaz namba moja sasa wajisifie collabo na dbanj mtu mwenyew kabuma uyo
 
We ni kiaz namba moja sasa wajisifie collabo na dbanj mtu mwenyew kabuma uyo
kama kubuma ni ishu, R.Kelly yuwapi? heheheee, ukitaka kujenga hoja nzuri usiwe mkali kuwaita watu viazi, fanya tafiti njoo na hoja yako utushike..! Anyways kuna wimbo Chris Brown amemshirkisha R Kelly unaitwa Drown in it upo kwene album mpya ya X ambayo CB aliiachia September 16 mwaka huu...On the other hand kuna video mpya ya D'Banj inaitwa Feeling the Nigga imetoka mwishoni mwezi huu.
 
kama kubuma ni ishu, R.Kelly yuwapi? heheheee, ukitaka kujenga hoja nzuri usiwe mkali kuwaita watu viazi, fanya tafiti njoo na hoja yako utushike..! Anyways kuna wimbo Chris Brown amemshirkisha R Kelly unaitwa Drown in it upo kwene album mpya ya X ambayo CB aliiachia September 16 mwaka huu...On the other hand kuna video mpya ya D'Banj inaitwa Feeling the Nigga imetoka mwishoni mwezi huu.

We kidogo mstaarabu unabisha kwa hoja
 
We ni kiaz namba moja sasa wajisifie collabo na dbanj mtu mwenyew kabuma uyo

Are you diamond fan's kama thread inavyosema?
kuwa mstaarabu na uheshimu wenzio.kama unataka kumkosoa diamond kwa lolote lile anzisha uzi wako na sisi tutakuja kumtetea.
 
Are you diamond fan's kama thread inavyosema?
kuwa mstaarabu na uheshimu wenzio.kama unataka kumkosoa diamond kwa lolote lile anzisha uzi wako na sisi tutakuja kumtetea.

Ustarabu gan unaotaka...? Nivue viatu mlangoni au
 
ALLY KIBA
ANAPOYAKIMBIA MAISHA YA BILA PRESHA YA BARNABA


anamwona Barnaba anavofanya mziki wake? anapakua hit
baada ya hit atakavyo na bila kupelekeshwa na mtu, hana
presha sjui video akatoe wap coz anajua quality ya video
yake hauwez kuwa mjadala kivile, hana presha sjui
ashndane na nan yan kiufup hana presha ya kushndana ktk
mzik na mtu yoyote, hajawai kujidai yeye ndo king wa mziki
na wala mashabiki wa muzik hawajawai kumshndanisha na
mtu yeyote kwakila anachokifanya LAKINI Kila mtu
anayemsikiliza vizuri Barnaba anakiri huyu ni mwimbaji
bora kabisa Tanzaniakwasasa, anakubalika kwanza na kila
msanii, ye hanaga maneno meng ni kaz tu zinaongea kiufup
BARNABA DOESN'T NEED TOO MUCH PUBLICITY, MEDIA
ATTENTION AND KICK TO BE APPRECIATED AS THE BEST
MAISHA HAYO ya Barnaba ndo aliyoish msanii ALLY KIBA
had pale mwaka 2012, kabla ya mwaka huu 2014 kuamua
kuyakmbia maisha hayo ya kuish kama Barnaba nyuma ya
mwaka 2009 kurud had 2006/07, mziki wa kuimba Tz
ulikuwa umekamatwa na wasanii 3 ambao ni Ally Kiba,
Marlaw Lawrance na Matonya kabla yabaadaye kila msanii
kuanza kutoa nymbo zisizotamba kwa level ile aloanza
nayo mfano Ally Kiba aletamba na nyimbo kama Makmuga,
Cinderela, nakshnakshi etc alirud 2009 na wimbo wa
usinisemee ulopokelewa kwa hisia tofaut, kabla ya
kuendelea nanyimbo kama So far away nk ambazo # nying
hazkufkia level ya nymbo za album ya kwanza kwa miaka
kadhaa sasa Ally Kiba amekuwa anatamba ila chin ya kivuli
cha wasanii kama Diamond aleibuka 2009 na chat yake
inapanda kila leo, 20% ambaye naye aliitetemesha Tz
mwaka 2010/11 nk kabla ya mwaka huu alipoamua kurud
ktk gem akiwa na rundo la tuhuma zikielekezwa kwa
Diamond, mara Diamond kafanya hiv mara kafanya vile
mara alifuta mistari yangu, mara ilibid ashrikishwe kwenye
single boy mwaka 2012, mara mi ndo nlemtoa Diamond n.k
tuhuma hiz zikisindkizwa na maneno maarufu ya
"NIMEKUJA KUFUTA VUMBI KITI CHANGU" Maneno hayo
yalikuzwa sana na vyombo vya habari na kupata sapoti ya
mda mfup ya mashabik walopotoshwa mambo mawili #
kwanza kuaminishwa Ally Kiba alikaa kimya mda mrefu wa
miaka 3 # pili madai kwamba Ally Kiba anarud ktk ufalme
wake wa muzik wakat ata kabla ya kutoa wimbo wa mwisho
Singleboy alotamba nao 2012 bado hakuwa Ally Kiba yule
unaeweza mweka juu ata ya Rich mavoko au Ommy Dimpo
Ktk kipind icho cha kurud upya kwa Ally Kiba kulishuhudiwa
mambo kadhaa makubwa ikiwemo kuzomewa jukwaan kwa
msanii mwenzake Diamond ambaye alimshushia rundo la
tuhuma, ilishuhudiwa pia mashabik wakimtukana Diamond
ktk mitandao ya kujamii bila ata wao kujua kosa lake ni nn
kawafanyia msanii uyo anayesfika kwa kuimba nyimbo za
kuwafariji maskin walio ktk mahaba mazito yenye
changamoto nying eg mbagala, kamwambie, nitarejea,
kizaizai, nataka kulewa, ntampata wap n.k Msanii Diamond
hakujibu masahibu yanayomkuta kwa maneno, bali ni kipnd
kilichofwatiwa na tuzo mfululizo za kimataifa zikienda kwa
Diamond kias cha ata watu kusahau tena kumponda, huku
pia akisindkiza tuzo hizo kwa wimbo unaotamba kwasasa
wa ntampata wap Inawezekana labda Ally Kiba hakupma
kina cha bahari anayotaka kushndana nayo, tangu arud ktk
gem nyimbo zake 3 zishatoka zikiwemo kimasomaso,
mwanadar na hela ulovuja wik ilopta. Uamuz wa Ally Kiba
kujitoa kushndana na Diamond ulikuwa ni uamuz mkubwa
mno ambao unaitaj uwekezaj mkubwa wa muda, juhud,
connection na pesa kitu ambacho nna uhakika Ally Kiba
hakujua hii imesababisha mashabik wake kila atachofanya
kulinganisha ubora wa ichokitu anachofanya na
anachofanya Diamond au kitu atachofanya Diamond
mashabik wake watataka naye afanye. Hii imekuwa ni zigo
kubwa la presha kwa Ally Kiba na endapo akishndwa
kuuhandle unaweza kumpotezea sana mashabik aloamua
kwa hiyari yake kuwagawa wa Diamond na wake. Mfano wa
dalili za mwanzo za hasara ya presha alizojipandkiza Ally
Kiba: 1. Kwenda kutoa video Sauz – hii kitu amelazimika ili
kukidh matarajio ya mashabik kuwa kwann afanye video
bongo akat wasanii wenzake wanaenda nje, japo waweza
mtetea kwamba kaenda Sauz bila kuiga wengne ila utetez
huu utazidiwa point na kwann wimbo uitwe mwanadar ila
mandhari iwe ya Sauz, ila kuna watu wanatetea tena mbna
wimbo wa mdogomdogo wa Diamond una mahadh ya asili
ya kitz ila video imechukuliwa nje……… HUU NI MJADALA
MKUBWA 2. Kwann utoe video nje afu iwe na quality ndogo
– kama Ally Kiba angeamua kuish kama Barnaba
asingepata matus ya video mbovu, mara ooh alienda sauz
na mil 4 tu kutoa video 3. Kuongezeka kwa wakosoaj wa
kaz zake – kila nyimbo au kila atachofanya Ally Kiba
kwasasa kitapokelewa kwa macho ma3, nyimbo yake mpya
ya HELA watu wameiponda mno, video ya mwana watu
wanaiponda mno maudhui hayaendan na mandhari 4.
Ufananisho wa kila anachofanya Diamond – kwasasa
Diamond akipata tuzo ya kmataifa mashabik hukmbilia
kuhoj Kiba atapata lin, Diamon akipga show labda Nigeria
mashabik wa Diamond huoj ye atapga lin ata Uganda, Kiba
akivaa nguo flan watu bado watahoj atavaaje mkoti jukwan
etc. lakin mashabik hao hawathubutu kuhoj Barnaba
atapata lin tuzo Huu ni wakat wa Ally Kiba ambaye
kafungua page yake fb mwez ulopta kujitathmin mwelekeo
wa mziki wake na ajue waz wasanii wanashea mashabik so
swala la kuwagawa mashabik si zuri kwa hatima ya mziki
wake, pia anatakiwa awe na watu wazuri kumshauri kuhusu
muzik coz ni mwanamziki mzuri ila sio mfanyabiashara
mzuri wa mzik na chamwisho aepuke kabisa kufanya mzik
kwa mashndano na mtu bali afanye mzik kwa malengo yake
alojiwekea afike wap sio amshushe nan au awe kama nan,
kwahapo atajitoa ktk zigo hili la presha alilolibeba


MAISHA
HAYATAK MASHNDANO NA MTU BALI YANAITAJ
UWEKEZAJ WA JUHUD, MUDA NA MAARIFA KUMZID MTU
NI MATOKEO. swali je ALLY KIBA UTAWEZA KUISH MAISHA
HAYA YA PRESHA ZA MASHABIKI


..Written by Frolian Martin Mgeni....

dah hii ndio critical analysis yenyewe
 

Attachments

  • 1419862736705.jpg
    1419862736705.jpg
    53.5 KB · Views: 197
  • 1419862752404.jpg
    1419862752404.jpg
    50.4 KB · Views: 175
Bidii ya kazi ndio itakufanya upendwe na kukubalika hongera diamond
 

Attachments

  • 1419866102224.jpg
    1419866102224.jpg
    59.8 KB · Views: 176
Back
Top Bottom