Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

haiwezekani lazima mzee yusuf alikuwepo hapa c.c matola

mkuu yaani umegonga ikulu, sasa sijui watasemaje? Hicho ndicho kilichomwangusha mfalme wao kutokubali kuwa jamaa yupo matawi mengine, wanachojua ni majungu tu! Hiyo ni one man show siyo fiesta inayojumuisha wanamuziki wa kimataifa na wa nyumbani!
 
Nlikuwa busy kidooogo...ila nipo sanaaa
Acha tu... mwisho wa mwaka ni full bullying! Nilikuwa na siku sita chungu sana za kumalizia december to the point, baada ya kukamilisha hiki na kile, nikajikuta kama cku tatu hivi sijisikii kufanya chochote kile zaidi ya kucheki movie!!
 
Mm nshasema najitoa team chibu....mpaka king wetu arudi kwenye game....maana hiii singo alikua anajaribu tuu mwaka huuu anauwasha moto......si eti watwana wa king kiki???

kwi kwi kwi kwi.
 
Acha tu... mwisho wa mwaka ni full bullying! Nilikuwa na siku sita chungu sana za kumalizia december to the point, baada ya kukamilisha hiki na kile, nikajikuta kama cku tatu hivi sijisikii kufanya chochote kile zaidi ya kucheki movie!!

Na hivi jf ilipotea ....sipati picha ulivyokuwa bored....
 
Mm nshasema najitoa team chibu....mpaka king wetu arudi kwenye game....maana hiii singo alikua anajaribu tuu mwaka huuu anauwasha moto......si eti watwana wa king kiki???
watu na nyota zenu, haya bana
 
Wakuu wote humu ndani tukiongozwa na mleta Uzi Chinga One niwapongeze kwa Yale ya mwaka jana na niwatakie heri ya mwaka mpya 2015.

Naomba niseme jamaa anapata ushauri wetu sana..maana nakumbuka ushauri uliojaa sana last year kuanzia kwa post yangu hiii ya "diamond na yemi" na humu ilikua ni kuhusu kupiga live.
Nashukuru ushauri wetu jamaa kaupokea na show ya dar live ndio ilikua live ikafuatiwa na Bujumbura na Kigali.
Hivyo niwaombe this year sisi tupige kazi ya kupongeza na kushauri tu ili kijana aendelee kujiimarisha zaidi....majisifu tuwaachie wengine maana "kizuri chajiuza..........."
Hongereni sana guys.
Happy new year.





Wale wa povu pia ruksa kucomment.......
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…