Hapo sasa... lakini anyway, hawana kingine cha kuongea kwahiyo sio mbaya wakijifurahisha kwa lolote watakalo kama cku nilipokuta wanashangilia Ali K kumshinda Diamond kwenye Nani Zaidi ya Radio One... wallah hiki kipindi nilishakisahau manake am sure nina zaidi ya miaka 5 sijawahi kukisikiliza!!
Kuna Uzi mmoja mdau alifungua wa al Jazeera kufanya mahojiano na diamond na jamaa akadai amekiona....hilo povu la haters sasa jamani nilichoka..MTU anabisha kwamba Jazeera hawawezi kabisa Fanya huo UPUUZI(akiwa na maana kumhoji na kurusha kipindi cha diamond) kwamba wana mengi ya kurusha kama palestina na sio diamond...povu likawatoka kweli kweli....
Juzi wote tumetazama kipindi hicho,sa Niko najiuliza wale jamaa how do they feel now????
Hio ndio definition ya chuki bila sababu.
umezuka mjadala mkubwa twitter, eti ni sawa bwana diamond/wanaume kubeba handbags za bibi zao?Kuna Uzi mmoja mdau alifungua wa al Jazeera kufanya mahojiano na diamond na jamaa akadai amekiona....hilo povu la haters sasa jamani nilichoka..MTU anabisha kwamba Jazeera hawawezi kabisa Fanya huo UPUUZI(akiwa na maana kumhoji na kurusha kipindi cha diamond) kwamba wana mengi ya kurusha kama palestina na sio diamond...povu likawatoka kweli kweli....
Juzi wote tumetazama kipindi hicho,sa Niko najiuliza wale jamaa how do they feel now????
Hio ndio definition ya chuki bila sababu.
umezuka mjadala mkubwa twitter, eti ni sawa bwana diamond/wanaume kubeba handbags za bibi zao?
uuuuum, hello...u want to go out sometimes for a couple of coffee maybe?
Hahahaaaaa ukipatia ntakupa bonge ya zawadi
Tena nisaidie kuniulizia vizuri manake wala simuelewi elewi tu..."Zawadi ya ushindi"?
mtu unakula papuchi itakuja kuwa kubeba handbag...umezuka mjadala mkubwa twitter, eti ni sawa bwana diamond/wanaume kubeba handbags za bibi zao?
watakusikia wenyewe wewe... shauri yako, mi cmo ! wenzako wanakisikiliza hadi kesho na juzi juzi wamejipatia tuzo afu we unasema?Hahahaaaa kumbe bado kipogo duuh mara ya mwisho kukisikiliza nilikuwa primary
umezuka mjadala mkubwa twitter, eti ni sawa bwana diamond/wanaume kubeba handbags za bibi zao?
yap wito kweli kweli , should be "cup" right?"Couple..." duuuh! Kingereza kweli wito
"Zawadi ya ushindi"?
Nahisi kahama team si buree...hata kutoa salamu humu ndani hataki
Habari njema wakuu.. kijana wetu diamondplatnumz kachaguliwa kuwania tuzo za tooXclusive za Nigeria katika kipengele cha African artist of the year.. kama kawaida tufanye ije nyumbani wakuu tupige kura Hii chini ndio link ya hiyo website
DOWNLOAD:tooXclusive AWARDS 2014 - VOTE NOW!tooXclusive
Hapo sasa... lakini anyway, hawana kingine cha kuongea kwahiyo sio mbaya wakijifurahisha kwa lolote watakalo kama cku nilipokuta wanashangilia Ali K kumshinda Diamond kwenye Nani Zaidi ya Radio One... wallah hiki kipindi nilishakisahau manake am sure nina zaidi ya miaka 5 sijawahi kukisikiliza!!
Kuna Uzi mmoja mdau alifungua wa al Jazeera kufanya mahojiano na diamond na jamaa akadai amekiona....hilo povu la haters sasa jamani nilichoka..MTU anabisha kwamba Jazeera hawawezi kabisa Fanya huo UPUUZI(akiwa na maana kumhoji na kurusha kipindi cha diamond) kwamba wana mengi ya kurusha kama palestina na sio diamond...povu likawatoka kweli kweli....
Juzi wote tumetazama kipindi hicho,sa Niko najiuliza wale jamaa how do they feel now????
Hio ndio definition ya chuki bila sababu.
Habari njema wakuu.. kijana wetu diamondplatnumz kachaguliwa kuwania tuzo za tooXclusive za Nigeria katika kipengele cha African artist of the year.. kama kawaida tufanye ije nyumbani wakuu tupige kura Hii chini ndio link ya hiyo website
http://tooxclusive.com/editorial/tooxclusive-awards-2014-vote-now/
Davido yupo kwenye hii category?
Davido yupo kwenye hii category?