Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hapo sasa... lakini anyway, hawana kingine cha kuongea kwahiyo sio mbaya wakijifurahisha kwa lolote watakalo kama cku nilipokuta wanashangilia Ali K kumshinda Diamond kwenye Nani Zaidi ya Radio One... wallah hiki kipindi nilishakisahau manake am sure nina zaidi ya miaka 5 sijawahi kukisikiliza!!

Hahahaaaa kumbe bado kipogo duuh mara ya mwisho kukisikiliza nilikuwa primary
 
Kuna Uzi mmoja mdau alifungua wa al Jazeera kufanya mahojiano na diamond na jamaa akadai amekiona....hilo povu la haters sasa jamani nilichoka..MTU anabisha kwamba Jazeera hawawezi kabisa Fanya huo UPUUZI(akiwa na maana kumhoji na kurusha kipindi cha diamond) kwamba wana mengi ya kurusha kama palestina na sio diamond...povu likawatoka kweli kweli....


Juzi wote tumetazama kipindi hicho,sa Niko najiuliza wale jamaa how do they feel now????



Hio ndio definition ya chuki bila sababu.

Mwisho wa ubaya ni aibu,,,
 
Kuna Uzi mmoja mdau alifungua wa al Jazeera kufanya mahojiano na diamond na jamaa akadai amekiona....hilo povu la haters sasa jamani nilichoka..MTU anabisha kwamba Jazeera hawawezi kabisa Fanya huo UPUUZI(akiwa na maana kumhoji na kurusha kipindi cha diamond) kwamba wana mengi ya kurusha kama palestina na sio diamond...povu likawatoka kweli kweli....


Juzi wote tumetazama kipindi hicho,sa Niko najiuliza wale jamaa how do they feel now????



Hio ndio definition ya chuki bila sababu.
umezuka mjadala mkubwa twitter, eti ni sawa bwana diamond/wanaume kubeba handbags za bibi zao?
 
umezuka mjadala mkubwa twitter, eti ni sawa bwana diamond/wanaume kubeba handbags za bibi zao?

Hii mijadala itazuka mingi sana.....



Soon utasikia mjadala "je ni sahihi diamond kuimba music"







Si wajua tena debe tupu.....................
 

Attachments

  • 1420479831406.jpg
    1420479831406.jpg
    35.7 KB · Views: 119
Hapo sasa... lakini anyway, hawana kingine cha kuongea kwahiyo sio mbaya wakijifurahisha kwa lolote watakalo kama cku nilipokuta wanashangilia Ali K kumshinda Diamond kwenye Nani Zaidi ya Radio One... wallah hiki kipindi nilishakisahau manake am sure nina zaidi ya miaka 5 sijawahi kukisikiliza!!

ndo ujue akili za wenzetu zilivyo fupi...
 
Kuna Uzi mmoja mdau alifungua wa al Jazeera kufanya mahojiano na diamond na jamaa akadai amekiona....hilo povu la haters sasa jamani nilichoka..MTU anabisha kwamba Jazeera hawawezi kabisa Fanya huo UPUUZI(akiwa na maana kumhoji na kurusha kipindi cha diamond) kwamba wana mengi ya kurusha kama palestina na sio diamond...povu likawatoka kweli kweli....


Juzi wote tumetazama kipindi hicho,sa Niko najiuliza wale jamaa how do they feel now????



Hio ndio definition ya chuki bila sababu.

ha ha ha... Wakafue sasa na hayo MAPOVU...

MTU ANATOKA POVU MPAKA ANATENGENEZA RADI. MAMBO GANI HAYAAA..
 
Davido yupo kwenye hii category?

AFRICAN ARTISTE OF THE YEAR

1.Uhuru
2.Sauti Sol
3.Mi Casa
4.Stanley Enow
5.Diamond Platnumz
6.Mafikizolo
7.Efya
8.Sarkodie
9.Cassper Nyovest
10.Fuse ODG
.... ....

Kazi ipo hapo...
 
Back
Top Bottom