Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Davido hayupo.. hii ni category ya wanamuziki nje ya Nigeria




AFRICAN ARTISTE OF THE YEAR

1.Uhuru
2.Sauti Sol
3.Mi Casa
4.Stanley Enow
5.Diamond Platnumz
6.Mafikizolo
7.Efya
8.Sarkodie
9.Cassper Nyovest
10.Fuse ODG
.... ....

Kazi ipo hapo...
Hapa tishio ni Mafikizolo tu na Wanageria kwa hasira hawawezi kuwapa mafikizolo, the guy from TZ ana advantage kubwa ya kushinda tuzo hii.
 
Hapa tishio ni Mafikizolo tu na Wanageria kwa hasira hawawezi kuwapa mafikizolo, the guy from TZ ana advantage kubwa ya kushinda tuzo hii.

Kuna huyo FUSE ODG ni noma.,., mzee wa AZONTO, ANTENA(feat. Wyclif)
 
Kuna huyo FUSE ODG ni noma.,., mzee wa AZONTO, ANTENA(feat. Wyclif)

Ni kweli.. lakini kwa mwaka 2014 hajasumbua sana kama miaka ya nyuma ya antenae na azonto
Kura zetu ndio mpango mzima
 
Hapa tishio ni Mafikizolo tu na Wanageria kwa hasira hawawezi kuwapa mafikizolo, the guy from TZ ana advantage kubwa ya kushinda tuzo hii.

Tuombe wawe wamesahau upuuzi wa wachache aliofanyiwa davido la sivyo wanatuadhibu live
 
Dai mwisho wa reli, yule mpuuzi anarekodi video inayoanzia chooni hivi ana akili kweli? Ubunifu ziro kabisa kule mtaa wa pili
 
Dai mwisho wa reli, yule mpuuzi anarekodi video inayoanzia chooni hivi ana akili kweli? Ubunifu ziro kabisa kule mtaa wa pili

Hatred ni ugonjwa unaouwa kwa kasi sana na hauna dawa bali kinga imegunduliwa ni kuapreciate anachofanya mwingine kama ni kizuri. Otherwise prepare ur own coffin for burial celemony of ur dead boady.
 
Tuombe wawe wamesahau upuuzi wa wachache aliofanyiwa davido la sivyo wanatuadhibu live
God will help... I hope wenzetu hawawezi kuwa na ujinga uliopitiliza kama tuliokuwa nao sisi na hii itakuwa ndio kipimo cha ukomavu wao manake yaliyotokea ingekuwa ndo yametokea kwa Diamond kutoka kwa wa-Naija halafu Davido ndo anatimba Bongo... mbona angekiona!
 

show ya tarehe nane itafuta madhambi yote
 
show ya tarehe nane itafuta madhambi yote
Binafsi hofu yangu ni show na sio hizo tuzo coz' mara zote wenye matatizo ni mashabiki na sio watu kama waandaji wa tuzo! Hata hivyo, kinachonipa matumani ni kwamba Nigeria is a big country, especially in terms of population size! I hope lile sakata lilipata sana airtime hapa Tanzania kuliko Nigeria... so, I bet only a small part of Nigerian population ndio wanafahamu kwamba Watanzania walimnyea mbaya one of their beloved guy Davido!
 
Inawezekana na mimi nina asili ya Kigoma nini? Vipi wa kule pande zetu? Au ukiwazingua na wewe wanakuzingua!!!!??

Hii post nlichelewa kuiona, natumia wapsite so notification hadi nizisake...Tatizo kaka zetu wa South wajeuri hao, halafu wanasusaaa. nongwaaa...

Ila kuhusu wewe nipe no za WiFi nimuulize...
 
Hii post nlichelewa kuiona, natumia wapsite so notification hadi nizisake...Tatizo kaka zetu wa South wajeuri hao, halafu wanasusaaa. nongwaaa...

Ila kuhusu wewe nipe no za WiFi nimuulize...
Mnh! Ukisikia majungu na fitina ndo hizi sasa... sasa kwa taarifa yako hakuna ajuaje kuyapalilia mahaba na mahabat kama mimi...
 

Kweli kabisa mkuu...tuombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…