Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Davido hayupo.. hii ni category ya wanamuziki nje ya Nigeria
Hapa tishio ni Mafikizolo tu na Wanageria kwa hasira hawawezi kuwapa mafikizolo, the guy from TZ ana advantage kubwa ya kushinda tuzo hii.AFRICAN ARTISTE OF THE YEAR
1.Uhuru
2.Sauti Sol
3.Mi Casa
4.Stanley Enow
5.Diamond Platnumz
6.Mafikizolo
7.Efya
8.Sarkodie
9.Cassper Nyovest
10.Fuse ODG
.... ....
Kazi ipo hapo...