hivi diamond alipokua anapafom "ukimwona" Darlive kuna maneno ya rap alikua anayatamka mwishoni, ni mageni kwene original song hayapo, kuna yeyote anaweza nipa ile mistari
NB: inafuata baada ya " .. kaka jirani, nenda mwambie fulani, hata mama nyumbani ajue ye ndo roho yangu " pale kwene " mwambie mwenzake nshapoteza dira ..." na kuendelea
cc Chinga One , Kim nana , chige , Innocizy , data
Thank you for this useful posted link! Wakati wengine walikuwa wanahangaika kupiga kura Radio One, nadhani wale wanaojitambua wangependa kuchukua fursa hii kupiga kura huku... Kauli Mbiu: "Mimi Nimepiga Na Nitaendelea Kupiga, Wewe Je?"
C.c Chinga One, Eshy m.s, Kim nana, zai katoto, ma2mbo, Heaven on Earth, chukuachako, Innocizy, BestOfMyKind, Paula kilaki, we miss you here, data, el nino, IFRS, matenene, Mkuu Opera Min, where ru dude? Murano,
mkuu naanza sasa...........................kura nshapiga
Jamani team wassafi hii kitu ndo nimeisikia Leo...Jamani Diamond tumuache tuuu...
Mapenzi By Diamond Ft Tanzanite.(Lukata50): http://youtu.be/4pEI4G-IJ0o
Wadau mshalisikia hili songi? Me nimeligundua Leo yani,
Diamond Platnumz ft. Machozi - Kizai Haikai: http://youtu.be/CkINy9tOBts
Jamani team wassafi hii kitu ndo nimeisikia Leo...Jamani Diamond tumuache tuuu...
Mapenzi By Diamond Ft Tanzanite.(Lukata50): http://youtu.be/4pEI4G-IJ0o
haa! Fitina za ndugu tu hizo my Eshy m.s ... huyo zai katoto tulikuwa tunapiga stori zingine kabisa! Kama ndo hivyo jeshi langu la mtu mmoja kamanda Kim nana si ningehamishia kwa zai! Kwanza jina lake lenyewe ni katoto, ndo kwanza katoto kenyewe kako darasa la kumi!! Tena kwa taarifa yako nakusubiria kule... ukinichomesha mahindi naja mi mwenyewe huko kwako.
Kim nana ingia u tube uicheki mapenzi basi ya diamond mi sijui kuweka link mwenzio, nyimbo nzuri sana ukiisikiliza kwa hisia unadondosha chozi
Kim nana ingia u tube uicheki mapenzi basi ya diamond mi sijui kuweka link mwenzio, nyimbo nzuri sana ukiisikiliza kwa hisia unadondosha chozi
kama upendo ungekuwa ni bidhaa .. ungeuzwa thamanii.. wakina sisi si tungekosa raha angependwa naniii.. ona naumia nafsi yangu yaupendo napenda kupendwa lakini pesa sinaa.. tena ni hodari wakuchagua warembo kupenda vizuri vibaya kwangu kinyaaaaa...
nyimbo kaiimba kwa hisia sana hii.haya mapenz bwana hayana mana yashanifanya me nchekwe sababu yake nshagombana nkatukanwa lakini kanipiga teke
Kaimba humo ndani...halafu umeusikiliza huo kizai zai Yuko na Hussein machozi...aisee huku mwanzo unaliza, halafu mwisho mwisho unachezekajeee....
Nimeusikiliza aisee chibu anajuwa kunikamata
Nimeusikiliza aisee chibu anajuwa kunikamata
"Basi inuka kidogo ucheeeze, inuka kidogo ucheze" Me nimecheza kweli...lol
Ngoja niinuke lol