Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,709
hivi diamond alipokua anapafom "ukimwona" Darlive kuna maneno ya rap alikua anayatamka mwishoni, ni mageni kwene original song hayapo, kuna yeyote anaweza nipa ile mistari
NB: inafuata baada ya " .. kaka jirani, nenda mwambie fulani, hata mama nyumbani ajue ye ndo roho yangu " pale kwene " mwambie mwenzake nshapoteza dira ..." na kuendelea
cc Chinga One , Kim nana , chige , Innocizy , data
Yeah, niliyasikia. ila nlisikia ule wimbo ulivujishwa na producer wake, so ulivujishwa nusu, ila origin version ilitakiwa kuwa na maneno hayo...
Ngoja wajuzi waje
Last edited by a moderator: