Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

hivi diamond alipokua anapafom "ukimwona" Darlive kuna maneno ya rap alikua anayatamka mwishoni, ni mageni kwene original song hayapo, kuna yeyote anaweza nipa ile mistari
NB: inafuata baada ya " .. kaka jirani, nenda mwambie fulani, hata mama nyumbani ajue ye ndo roho yangu " pale kwene " mwambie mwenzake nshapoteza dira ..." na kuendelea

cc Chinga One , Kim nana , chige , Innocizy , data

Yeah, niliyasikia. ila nlisikia ule wimbo ulivujishwa na producer wake, so ulivujishwa nusu, ila origin version ilitakiwa kuwa na maneno hayo...

Ngoja wajuzi waje
 
Last edited by a moderator:
Thank you for this useful posted link! Wakati wengine walikuwa wanahangaika kupiga kura Radio One, nadhani wale wanaojitambua wangependa kuchukua fursa hii kupiga kura huku... Kauli Mbiu: "Mimi Nimepiga Na Nitaendelea Kupiga, Wewe Je?"

C.c Chinga One, Eshy m.s, Kim nana, zai katoto, ma2mbo, Heaven on Earth, chukuachako, Innocizy, BestOfMyKind, Paula kilaki, we miss you here, data, el nino, IFRS, matenene, Mkuu Opera Min, where ru dude? Murano,


mkuu naanza sasa...........................kura nshapiga
 
Jamani team wassafi hii kitu ndo nimeisikia Leo...Jamani Diamond tumuache tuuu...

Mapenzi By Diamond Ft Tanzanite.(Lukata50): http://youtu.be/4pEI4G-IJ0o

kama upendo ungekuwa ni bidhaa .. ungeuzwa thamanii.. wakina sisi si tungekosa raha angependwa naniii.. ona naumia nafsi yangu yaupendo napenda kupendwa lakini pesa sinaa.. tena ni hodari wakuchagua warembo kupenda vizuri vibaya kwangu kinyaaaaa...
 
haa! Fitina za ndugu tu hizo my Eshy m.s ... huyo zai katoto tulikuwa tunapiga stori zingine kabisa! Kama ndo hivyo jeshi langu la mtu mmoja kamanda Kim nana si ningehamishia kwa zai! Kwanza jina lake lenyewe ni katoto, ndo kwanza katoto kenyewe kako darasa la kumi!! Tena kwa taarifa yako nakusubiria kule... ukinichomesha mahindi naja mi mwenyewe huko kwako.

umenchekesha kweli ulivyosema katoto mwenyewe yupo darasa la kumi yaan nmecheka kweli
 
Last edited by a moderator:
Kim nana ingia u tube uicheki mapenzi basi ya diamond mi sijui kuweka link mwenzio, nyimbo nzuri sana ukiisikiliza kwa hisia unadondosha chozi

Yani huo wimbo unanikosha sana...nimeudownload kitaaambo, silali bila kuusikiliza

Haya mapenzi bwana, hayana maana yalinifany me nichekwe,sababu yake nikapigana, nikatukanwa ila ndo kanipiga tekee.. duh
 
Last edited by a moderator:
Kim nana ingia u tube uicheki mapenzi basi ya diamond mi sijui kuweka link mwenzio, nyimbo nzuri sana ukiisikiliza kwa hisia unadondosha chozi

nyimbo kaiimba kwa hisia sana hii.haya mapenz bwana hayana mana yashanifanya me nchekwe sababu yake nshagombana nkatukanwa lakini kanipiga teke
 
Last edited by a moderator:
kama upendo ungekuwa ni bidhaa .. ungeuzwa thamanii.. wakina sisi si tungekosa raha angependwa naniii.. ona naumia nafsi yangu yaupendo napenda kupendwa lakini pesa sinaa.. tena ni hodari wakuchagua warembo kupenda vizuri vibaya kwangu kinyaaaaa...

Kaimba humo ndani...halafu umeusikiliza huo kizai zai Yuko na Hussein machozi...aisee huku mwanzo unaliza, halafu mwisho mwisho unachezekajeee....
 
nyimbo kaiimba kwa hisia sana hii.haya mapenz bwana hayana mana yashanifanya me nchekwe sababu yake nshagombana nkatukanwa lakini kanipiga teke

Mie mwenzenu tena basii ... ooh mapenzi sitakiii.. ooh mwenzenu tena basiii basiiii sitakiiii... mmh yalinifanya nikaugua mara napanga nnapanguaa, mwili ukakonda nikapungua ay sikulalaaa...
 
Kaimba humo ndani...halafu umeusikiliza huo kizai zai Yuko na Hussein machozi...aisee huku mwanzo unaliza, halafu mwisho mwisho unachezekajeee....

Nimeusikiliza aisee chibu anajuwa kunikamata
 
Back
Top Bottom