Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

najisikilizia wimbo wa Wizkid - Ojuelgba huku naperuzi JF, sasa katokea anko wangu ( sayna, 4 yrs) kaona hii picha, kaniambia niitoe ya wizkid niiweke hii picha. Nimemwekea video ya ntapata wapi and ameanza kucheza ( she is one of those kids ambao hawapati muda wa ku-interact na watu mara kwa mara kwahiyo imenishangaza yeye kutaka hii picha niicheze). Na sasa imekua ugomvi hataki tuutoe huu wimbo
 
mi nawashangaa mnabishana na wale watu wakati ukweli mnaujua......wapigieni kimya tu na huyo mtu wao kwa ngoma anazo toa asahau kuvuka boda!
Kwanza ni kumdhalilisha Chibu... how can you compare local and international artists!! Binafsi nilianza kuwapuuza pale walipoanza kuwekeana ma-photoshop na wenyewe bila kuchunguza wakaanza kupiga vigelele! Sie wengine tukawa tunawaangalia tu kv hatukutaka kuwatibulia party yao hadi BBC wenyewe walipoamua kufunga mjadala na kukanusha!!

Hapa wengine tunasubiria msimu wa vikombe tu kisha tuanze kuwaua tena watu kwa facts and figures coz' hatutaki kuongelea hisia binafsi!!
 
Jamaa ni wabishi wale,, tuachane nao.
Hapana... si kwamba ni wabishi in short jamaa wanakuwa desperate kwa muda mrefu kwahiyo kinapotokea chochote lazima waripuke kwa shangwe kama ambavyo waliripuka kufurahia collabo na Chris Brown wakati mwenye akili zake alijua kabisa kwamba habari yenyewe ilikuwa ni upuuzi mtupu... watu wanaweka photoshop badala ya kuweka link halafu bado watu mnatamba na kujimaliza kwa kila mbwembwe!!!
 

well said, this people are disparate wanatamani miracle iwanusuru, niliwaonea huruma wanavyoshangalia collabo na chris yani walinikumbusha zamani kule kijijini tulivyokuwa tunashangilia ubwabwa ukipikwa tunaona ni bonge la chakulaa cha maana, mtaa mzima lazima wajue tumepika wali kumbe mjini ni msosi wa kawaida tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…