Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Zingifuri zingifuri,ungezinga mahala ukakaa....usiye na mila desturi,usiyejua kutongozwa ukakataa.....HUYU DIAMOND YUKO KILA SEHEMU DAAA!!!!
 
Mm Yale mauno tu mule na ubaba Mchungaji ukawa majaribuni daaaah
 
Diamond ana roho mbaya sana.... Alianza kwenda south afrika kila mtu akakimbilia huko... Sasa kaja bongo kukichafua na hascana li ally kiba utashangaa linaiga
 
Ha ha ha, huyu jamaa anauwezo aisee. Waacheni timu chekecha wakalambe ndimu
 
Huu uzi uwe maalum kwa watu wote wenye mapenzi mema na wanaomtakia mafanikio kimuziki na kimaisha kijana Naseeb Abdul "Chibu Dangote".

Wenye kutaka kumshauri na kumtia moyo kijana aendelee kupaa na kuiwakilisha Tanzania kimuziki basi mnakaribishwa hapa mje mtoe maoni yenu kwa management na team Diamond kwa ujumla wapi wanakosea wapi waongeze juhudi wapi wajirekebishe ili kijana aendelee kua "the baddest musician" in Tanzania na East Africa kwa ujumla.

Kukosoa pia ni ruksa kwani no body is perfect.

Wale jirani wenye chuki,wivu na roho mbaya kwa vijana wenzao wanao onyesha mafanikio pia wana karibishwa humu ndani kutoa changamoto,kukejeri,kudharau na kutukana pia mnaruhusiwa kama mna akili timamu.


Karibuni sana wadau.
attachment.php


Kwanini mnaharibu majina ya watu?? Kwanini mnalinganisha kinyesi na dhahabu kwanini usijiite jina lako mpaka ujiite dangote??

Tangu lini dangote akajiita jina LA huyo mwanamziki wenu yaani hii forum sasa imekuwa kama wats up group ya wajinga

Eti unajiita dangote???

Inakera arghhhhh
 
We fa.la kweli nani kakuita hapa? Kama forum ni ya wajinga na wewe ulie komenti hapa pia ni mjinga!

Wewe ndo umeniita hapa maana post mada za ki u ha.ro

Ujinga ndo unaotawala humu ndani badala ya kujadili utafanyaje kazi unajadili mtu tena mnamjadili mjinga mwenzenu
 
That z whats up! iam a zombi like the one who sent me in this zombi's land....what else you wanna say u stupi.d moth##fu@k@#r?!

St.ck ur fi.nger in ur u.s then smell it

That's how I smell that so called good for noting musician

Mkijaga huku nawapaga shida sana and I like it
 
Ask ur mum to do that shi.t then come tell me what she've experienced? ha ha ha una mpa shida nani we kibwengo?

Ninyi hapo mnaolalaga sebuleni kwa watu

Kwanza unanuka ndomo go and ask your mumu to stick hers in urs then she will tell you kama ndomo
 
Kwanini mnaharibu majina ya watu?? Kwanini mnalinganisha kinyesi na dhahabu kwanini usijiite jina lako mpaka ujiite dangote??

Tangu lini dangote akajiita jina LA huyo mwanamziki wenu yaani hii forum sasa imekuwa kama wats up group ya wajinga

Eti unajiita dangote???

Inakera arghhhhh

Wewe ndo umeniita hapa maana post mada za ki u ha.ro

Ujinga ndo unaotawala humu ndani badala ya kujadili utafanyaje kazi unajadili mtu tena mnamjadili mjinga mwenzenu
fool.png
 
No need to argue wit a fo.ol,freak idiot,ambae ana hamu ya kuchambwa mav.i na abdalah kichwa wazi iam always here for the people like u come and suck my dxxk before i insert it to ya big as.s like that of ya baby sis and ya mama!

Ha ha ha ha mazafantaz!

Mayo de punta mnduku Wa dad yako emepwerepweta
 
Kwanini mnaharibu majina ya watu?? Kwanini mnalinganisha kinyesi na dhahabu kwanini usijiite jina lako mpaka ujiite dangote?? Tangu lini dangote akajiita jina LA huyo mwanamziki wenu yaani hii forum sasa imekuwa kama wats up group ya wajinga Eti unajiita dangote???Inakera arghhhhh
mwendawazimu umeingiaje? ukitaka kujadili ajira kuna forums zake! Inaonekana ni mgeni na JF..! Inakukera nini sasa wewe mtu mwingine kujiita Dangote? una undugu nae? labda anaharibu jina la ukoo wenu eti?
 
Nampa onyo aachane na mambo ya taarabu na kukata kiuno yy mwanaume bhana awaachie walewale kina ally kiba wakate viuno
 
sorry guyz nilitumia lugha kali sana na ya kuudhi dhidi ya bweg.e mmoja hivi ambapo lugha ya matusi sio agenda yetu humu ndani...iam very sorry waungwana!
 
Back
Top Bottom