mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
tatizo mi bado nlipoteleza nkakosa sipajui...mpaka kafunga virago na akaamua kuondoka sitambui..........daaaah jamani dayamondi anajuaaaaaaaaaa...hakuna mtu anayeimba anaweza kumshinda kuandika...kidooogo mo music na Baraka da prince wanamfukuzia....hata wanaorap ni wachache sanaaaa wanamshinda.....ila hawa zingifuri wengine hakunaaaaa
Kiingilio cha 3m kwa mara ya kwanza kwenye show hapa Bongo!
Hashikiki!
Ndo nani huyu? Isije ikawa ndo wale wala maharage ya wapi?
mi simjui
"Kwa mahaba uliyonipa, nimenogewaa, vurugu patashika ai punguza kidogo..hapohapo uliposhika..." Kweli Diamonds are forever. Mashahiri yake tuu mi hoi.
Mtu katangazwa icon ya taifa huko.....
Ngoja tusikie haters watavyolicheza segere sasa
Yaani nakwambia nimekaa bkimya nasubiri hilo jambo lifanyike ndipo nitoe neno maana kama siamini amini vile hii habari naona kama imetungwa!
DIAMONDS ARE FOREVER