Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

mods afadhali umetuleta huku kwenye team domo tuendeleze kichapo
 

+Naungana na wewe mkuu me jana nimemaliza energy kuwaelewesha kumbe nikagundua najisumbua tu kuna watu km watano wameshikilia hii inshu wanawaingiza kwenye mkumbo na wengine ambao ni wazembe kufikiri.

+tuendelee kuvote tu wakuu, hata kama akikosa nomination tu inatosha kuthibitisha Dai ni mkali Africa
 
mods wamehamishia uzi huku ili tuje tuwamalize
kabisa, hata mkiacha kuchangia sisi tunatosha
 
hovyo kabisa
 
Achana nao hao team k maana wanaochochea hayo hawazd hata wa5. Tufanye kaz moja tu ya kumsapot mchz wetu mond bin laden bila kumsahau v-money katika tuzo za mtv kwa kupiga kura kwa wing bila kuchoka na bila kuxahau: mama.mtv.com/voting/
 
Wait and see hz ni changamoto za kawaid tu kwa diamo na sisi mashabk wake.. vitu vzur vinakuja na bdo! vote for diamond n v-money: mama.mtv.com/voting/
 
Mdaa wa kuwajibu wanao toa comment zisizo endana na maudhui ya huu uzi tuutumia kuvote ivyo tu yani mkuu chige mzurimie Dina
 
Last edited by a moderator:
vote for davido
 

* Chief achana na hao team k, unapoteza tu calories...sisi tunaopiga kura tutapiga...wao waache tu...hawawezi kupiga kura..
 
Mpongezeni kiba jamani acheni roho mbaya kaipeperusha bendera ya tanzania duniani kote.
 

Attachments

  • 1434362171175.jpg
    11.2 KB · Views: 104
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…