Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hivi kila mtu diamond "anatudharau anatudharau mara anatuzalilisha" anawadharau kivipi wakati hata hajui viumbe kama nyie mpo hebu mmuache alee mimba jamani na aenjoy mafanikio yake heeeeee wivu ukifikia stage hii unakua uchawi
Wanaongea ujiunga mtupu. Aisee Dada yangu tupeleke wanetu shule wasiwe wajinga kama huyu mppuuzi anayemuonya diaomond eti aangalie mwenendo wake
 
Tabu hautaki kukubali haukuweza kumsikiliza live kutokea South Africa, next time hata google jina la stesheni ya redio halafu weka live.... au download apps za kusikiliza redio duniani.

Alinoga yaani ni hadi raha,

Usisahau kupiga kura Tanzania oyeeeee, link hii

http://mama.mtv.com/voting/

View attachment 261453

1434655756317.jpg
Design ka wanafanana hivi
1434655807850.jpg1434655807850.jpg
 

Attachments

  • 1434655841362.jpg
    1434655841362.jpg
    33.1 KB · Views: 114
katika kile kinachoonesha kuchukizwa na diss za baadh ya mashabiki diamond alimjibu mmoja wao hivi
 

Attachments

  • 1434724812967.jpg
    1434724812967.jpg
    31.2 KB · Views: 269
Back
Top Bottom