Hii thread lengo ni kumdhalilisha Diamond wala si kumhurumia mtu yeyote hapa! Global kumchafua Diamond ndio kazi yao na wala Diamond hawezi kufanya haya...!Global wajinga sana..
kagoogle utapata jibu ya swali lako
watu kama nyie vimbelembele ndio maana hata wanaumezenu hamkai nao.. Matola kama ushaolewa mme wako anakazi kwelikweli...
kagoogle utapata jibu ya swali lako
Hahahaaa Matola ni mwanamme jamani, tena anaitwa Baba samira.
Kumbe ilikua kweli..
Samira yuko grade gani??
Una uhakika gani kama yule ndo baba ake mzazi? ulikuwepo kumshikia mguu wakati hizo sperm zinapandwa? shobo mbayaaa
Hahahaaa hili jibu limenichekesha sana una majibu ya shombo wewe! Lakini usisahau kupiga kura.
kwa uaminifu weka hapa Tu hiyo video au link
kagoogle utapata jibu ya swali lako
Akiweka natoa million moja taslim hapa.
kidogo nami niseme ukute matola ndio babake daimond
nenda you tube ipo video vevee