Hizo pesa SI Una ndugu zako uwachangishieee uwape au ndugu zako wote matajirii
Huyo Baba hakumlea Daimond so jali yako
Mbona wewe umemtelekeza Samira SI umleee ndio matokeo hayo angalia usije kua kama huyo babaa
Una uhakika gani kama yule ndo baba ake mzazi? ulikuwepo kumshikia mguu wakati hizo sperm zinapandwa? shobo mbayaaa
Pesa uliyokwiba kwa baba wa kambo aliyekulea usharudishaga?Hebu rudi hapa, Samira nimeshampeleka International school of Tanganyika kwa hiyo nimejirekebisha ni matumaini yangu Billionare Dangote wetu naye atajirekebisha na kuanza kumtumza baba yake.
Ukitaka kumuona.Samira njoo kesho Masaki golf course utamuona anacheza tennis.
apite hiviii, asijitokeze zamani alivyoskia daimond anaanza mziki sahivi kajibebea mzigo wa misumari huku ana kipara ndo ajifanye anamhitaji!!! wanaume wengine wajifunze
Kwani ulidhania uongo? Njoo kesho masaki tutaongea zaidi na kubadilishana uzoefu.
Mkuu kwa kuuwa soo tu sikuwezi...Unaifanya kama ni jokes vile hahahNimesharudisha na riba ya millioni nyingi tu. Harafu unaona hapo kwenye picha Baba Samira nilivyo handsome? Chezea Matola wewe?
Haya sasa turudi kwenye mada, fanyeni mchakato mimi pesa niliyoahidi niko tayari kuitoa hata leo hii cash, na Mrembo by Nature tayari ameshanijurisha kwa njia ya simu nitaupataje mchango wake kwa hapa Dar anazo resource nyingi tu kwahiyo hakuna haja ya kuangaika na western union au money gram. Tuwajari baba zetu no matter what.
Vipi wanawake wanaotupa watoto?
na wao huwa yanawasibu yao tu wanahangaika.
tumia wanaotupa na si mnaotupa, mimi si mmoja wao
Mkuu kwa kuuwa soo tu sikuwezi...Unaifanya kama ni jokes vile hahah
Yahaya.
Niko Usalama wa Taifa hili ni kweli.
Yahaya
Wewe una uhakika gani kama Baba yako hajapakaziwa mimba yako na mama'ko? Kiherehere tu.
Ntakujibu nkishafturu...
Mambo mengne yabaki kua fundisho kwa wababa wengne. Sitoi hata senti.
Unahisi vipi kama huyu Baba angemshawishi mama Nasib kutowa hii mimba iliyomzaa Diamond? Au angempa madawa kwa trick bila mama Nasib kujuwa ambayo yangeharibu mimba iliyomzaa Nasib? Au hujui wanaume wengi wamewafanyia haya wanawake? Kuna mpemba mmoja huwa anapenda kusema umaskini ni nusu ya ukafir, je hamuoni huyu baba yake Diamond ulofa ndio ulimsababishia yote haya?
Na ninaishi nyumba ya kupanga hili ni kweli.
Je una lingine?
Turudi kwenye mada sasa nia ni kumchangia Baba yake Billionare Diamond chibu Dangote.