Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hivi huyu jamaa si mwanaume huyu? No wonder hata aliowaita kwenye post yake ni wale ambao anaamini amefanana nao kimawazo! Katika maisha ya kawaida, ni sawa na mwanaume unawaita wanawake ili mjadili kuhusu jambo fulani. AIBU!
 
Aibu kweli hii. Yaani dume zima unaenda kuleta magazeti ya Shigongo ili kukazia haja yako! Hivi unajisikiaje mwanaume mzima unapokomalia maisha ya mwanaume mwenzako ambayo wakati wote source yako ni magazeti ya udaku?
 
Aibu kweli hii. Yaani dume zima unaenda kuleta magazeti ya Shigongo ili kukazia haja yako! Hivi unajisikiaje mwanaume mzima unapokomalia maisha ya mwanaume mwenzako ambayo wakati wote source yako ni magazeti ya udaku?

mkuu hata baba yake kim kardishian alikuwa mwanaume ila technology imechukua hatamu wala usishangae
 
mkuu hata baba yake kim kardishian alikuwa mwanaume ila technology imechukua hatamu wala usishangae
Dah! Kweli aisee. Ahsante sana kwa kunisaidia mkuu wangu kwanza kuna wengine wanasema kama uanaume ni kuwa na ma'pumbu na dushelele hata mashoga wanayo kwahoyo kinachotofautisha ni matendo. AHSANTE NDUGU YANGU.
 
Baada ya kupima na kuchuja facts, nimegundua huku ndio winning side. Kule kwingine ni chuki na majungu tu. Bado sijajua kinachofanya watu walinganishe kifo na usingizi. Achana na tuzo za kimataifa au kolabo za nje, ubishi kati ya Alikiba na Diamond unaishia kwenye suala la professionalism katika music industry and how his achievements are such an inspiration to young people out there waiting to live their dreamz.

Anayesema hampendi Diamond ujue ni wale aliowasema Chidy Benz kuwa wanadiss lakini wanamkubali kiaina. U can't hate such good music na extreme creativity from brother Chibu. I am a fan of good music and I choose this one...#one love.
 
Heheheiyaaaaa mapovu yatawatoka mwaka huu....
Team kiba hatukuwa na mtu kama wew sema wew ni team domo ata maandishi yanaongea.
Pole sana
 
Heheheiyaaaaa mapovu yatawatoka mwaka huu....
Team kiba hatukuwa na mtu kama wew sema wew ni team domo ata maandishi yanaongea.
Pole sana

Hahaaaa huyu shamuona somewhere humu anataka attention ila ni timu mond huyo. Tena yani.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…