Ila kale kajamaa kana dharau eti (nanukuu) ''ujue kitu kizur kikikosekana hata kibovu huwa kinapendwa''
Kuanzia hapo nlimshusha vyeo vyote!
Mxieuuuuuuu
Jamani namie birthday yangu ilikuwa Jana,, Happy birthday Evelyn Salt
Hahahaaa
...international level n habar nyingine, hiv hawaonag aibu kujifananisha na mwenzao anahegombea uanamzki bora wa Africa.....anashindanishwa na kina wizkid na davido πππ
God bless you Platnumz...
Happy belated birthday......
Sindo maana wanapata stress kila siku adui yao anazidi kushine wataachaje gambe kwa mfano
Asa mbn hukusema jaman.....nngeku'pm zawad aseeππ
Ile dharau sana asee....mtt wa kiume haongei vile.....halafu kpnd anaongea ile kauli alikuwa na tuzo moja ya kilimanjaro kabatin, asa cjui kizur gan hcho kilichomnyima hata tuzo za ktma!
Ngoja mashabik ake maandaz waendelee kumpoteza....sie tunaenda kupia show south wiki ijayo na tuzo ya Best live hiyo ipo kwa ajil etu labda zngine ndo tutagombea!
Nilijisahau ila Bado nasherehekea jamani iyo dhawadi naitaka tu
ahahahaa ni kweli kabisaaaaaa!!
Hahahaaa....aya naku'pm mamee, ila haiwez kuwa sawa na ambayo nngekupa jana π
Jamani jitahidi tahidi iwe sawa na ya Jana😉
Hahahaaaaa
...labda mwakan...if God wish π
Leo utakuwa umempunja Evelyn Salt
Diamond katisha sana uko instagram yaani asubuhi alikuwa na followers 809k imefika mchana ana followers 830k, yaani ndani ya masaa 4 kapata followes 20k, hadi mwenyewe anashangaa hawa watu wametoka wapi ghafla ivyo.
Na kweli, ila ilikuwa sio rizki yangu