Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

hahahahaaa embu acha kuvunja mbavu zangu,kwa hiyo uliskia upande wa pili kichwani kwako akajaa kiba??? so umeshamfanya mondi na kiba simba na yanga au???
Labda uamue kubisha tu ila kwa jukwaa hili na trend ya karibuni basi upande wa pili wa chibu ni kiba!! Sio ben Paul wala mavoko!!

Ngoja nianzishe Uzi wa mashabiki wa diamond na kiba kwa pamoko?!
 
Labda uamue kubisha tu ila kwa jukwaa hili na trend ya karibuni basi upande wa pili wa chibu ni kiba!! Sio ben Paul wala mavoko!!

Ngoja nianzishe Uzi wa mashabiki wa diamond na kiba kwa pamoko?!

skia dada yangu Deo Corleone usiwe mwepesi wa ku assume,mi ndio nime anzisha huu uzi na nilipo sema upande wa pili nili maanisha haters wa diamond na wapinga maendeleo ya vijana wenzao kwa ujumla na hakuna nilipo taja kiba,sasa kama fans wa kiba mpo kwenye kundi la haters na wachukia maendeleo ya vijana wenzenu basi it z right for u to cry out louder.
 
Last edited by a moderator:
Labda uamue kubisha tu ila kwa jukwaa hili na trend ya karibuni basi upande wa pili wa chibu ni kiba!! Sio ben Paul wala mavoko!!

Ngoja nianzishe Uzi wa mashabiki wa diamond na kiba kwa pamoko?!

so u cant change ua mind set aaah??
 
Ngoja nianzishe Uzi wa mashabiki wa diamond na kiba kwa pamoko?!

ha ha ha ha..,

mkubwa kuwa wazi tu, DIAMOND ana TAWALA CELEBRITY.

imagine hata akina peny,wema,zari etc. , all using his mighty name DIAMOND.

Huo uzi wa fans both side hauta fanikiwa hapa.

CHAGUA MOJA- FID Q.
 
Huu uzi uwe maalum kwa watu wote wenye mapenzi mema na wanao mtakia mafanikio kimuziki na kimaisha kijana Naseeb Abdul "Chibu Dangote".

Wenye kutaka kumshauri na kumtia moyo kijana aendelee kupaa na kuiwakilisha Tanzania kimuziki basi mnakaribishwa hapa mje mtoe maoni yenu kwa management na team Diamond kwa ujumla wapi wanakosea wapi waongeze juhudi wapi wajirekebishe ili kijana aendelee kua "the baddest musician" in Tanzania na East Africa kwa ujumla.

kukosoa pia ni ruksa kwani no body is perfect.

Wale jirani wenye chuki,wivu na roho mbaya kwa vijana wenzao wanao onyesha mafanikio pia wana karibishwa humu ndani kutoa changamoto,kukejeri,kudharau na kutukana pia mnaruhusiwa kama mna akili timamu.


karibuni sana wadau.

tupo kama milioni tisa nchi nzima
 
Huu uzi uwe maalum kwa watu wote wenye mapenzi mema na wanao mtakia mafanikio kimuziki na kimaisha kijana Naseeb Abdul "Chibu Dangote".

Wenye kutaka kumshauri na kumtia moyo kijana aendelee kupaa na kuiwakilisha Tanzania kimuziki basi mnakaribishwa hapa mje mtoe maoni yenu kwa management na team Diamond kwa ujumla wapi wanakosea wapi waongeze juhudi wapi wajirekebishe ili kijana aendelee kua "the baddest musician" in Tanzania na East Africa kwa ujumla.

kukosoa pia ni ruksa kwani no body is perfect.

Wale jirani wenye chuki,wivu na roho mbaya kwa vijana wenzao wanao onyesha mafanikio pia wana karibishwa humu ndani kutoa changamoto,kukejeri,kudharau na kutukana pia mnaruhusiwa kama mna akili timamu.


karibuni sana wadau.

habari zote za chibu zipitie hapa ndo ziende kwingine....ilikuwa ni aibu kwa msanii mdogo kama kiba awe na special thread halafu dimond asiwe nayo
 
Back
Top Bottom