Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Natamani msela aendelee kupiga kazi za maana...ili next year tuwe nominated BET afu tuichukue ile tuzo...naitamani sana bet...hii wish naamini itakamilika tuu
 
Hizi ni special awardssssss!!ni kwa ajili ya ma icon wa taifa,hapa bongo Wamepata Hon.KIKWETE na DIAMOND,hainaga kura hii heshima

Kiongozi bora Africa, na Msanii bora Africa, President from Tz with President from WCB, Tanzania we are the best
 
tushirikishane mwenzangu hiyo raha basi!maana mie kwangu leo karaha tu,simu yangu moja imelowekwa kwenye maji na dogo,halafu ndio simu ninayoipenda sana
Nlikua nafurahi alienusurika kuwa mbunge kakatwa, nikanywaaaa nkazima naumwa kichwa mweh
nmeamka nakutana na gud news tuzo ya heshima uuwiiii ngoja nkazimue mie
 
Mbona ile link mpya haijawekwa? Hii mambo ya tuzo za MAMA tumeishamaliza kazi
 
Nipo mie bado nakula bata na kusikiliza mwimbo wa Nana hadi raha bila kuachwa mbali na Nasema nawe na pia Wangu na nyinginezooooooo
 
Nipo mie bado nakula bata na kusikiliza mwimbo wa Nana hadi raha bila kuachwa mbali na Nasema nawe na pia Wangu na nyinginezooooooo

Jamani eeeeeeh hivi mmepata news za nomination nyingine ya Chibu kutoka Naija???

Category 2, favourite artist na favourite song(nana)

http://www.africannafca.com/vote.aspx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…