Pale ambapo mtoto wa diamond Hana hata siku moja toka azaliwe na kaingiza mil 50 kwa akaunti. Wakati wewe na mm hatujui tutaingiza lini,unachofanya ni kubaki ukisema ningezipata mm ningezifanyia hiki😂😂😂😂
Kimbley huo mzigo wa wapi tena?
diamond achaguliwa kuwania tena katika tuzo za aeawards kama best male artist of the year
Cc Chinga One, mzurimie
hapa Chibu pale Neyo hahaha
Nyama kila siku
#team stressfree yaniii...kama jina lako
Kama unajihisi wewe ni shabiki wa Diamond unayetumia akili na sio matope kufikiri basi tupo pamoja!kama unachembechembe za kinafiki za kufata mkumbo pleeease hatutaki kukuona hapa!!
mzurimie