Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

wadau tusisahau kwenda airport kumpokea dmond platnumz alhamisi hii na tudho ze2 5.
 
Kupiga kura ingia link hii ⬇ inakupeleka category yake afu piga kura mara nyingi uwezavyo, unabonya neno vote pembeni ya picha ya diamond afu jibu unalopewa unakuwa unalikata (cancel) ili kuendelea kupiga kura, hata mara 20000 ili aibuke kinara best worldwide act kati ya washindi 6 duniani wataopatikana kwenye hiyo category (America, Europe, etc)

⬇
⬇

MTV EMA 2015 | 25.10.2015 | Milan | Vote
 
The ‘Number One' hitmaker beat incredible competition from south Africa's AKA, Nigerians: Yemi Alade, Davido, and DJ Arafat from Ivory Coast. His triumph means that Diamond will now go up against the winning act from India to be named Best Africa/India Act.

Sasa jamani akishinda hapo kuna fainali inafanyika oktoba ataenda kukutana na justin bieber, kenrik lamar, taylor swift na wengine wakubwa.

Tukubalini tu jamani huyu dogo japo mnasema hana kipaji dhidi ya hao wengine mi namuona yupo efficient sana ikiwa na maana kile kipaji kidogo alichonacho amejua namna ya kukitumia na kuki market vizuri nje ya mipaka ya nchi yetu. The fact kwamba jamaa hakusoma na mambo ambayo anafanikisha kwa sasa aisee we should all take a bow to him.

Sema tu sasa anachoniboa huyu jamaa ni pale anapotutukania rais wetu lowasa na maneno mengine ya kebehi mimi ndo huwa simuelewi. Ingepaswa menejiment yake ingemshauri aachane na mihemko ya kisiasa maana inaweza kuharibu image yake.

Anyway ila baada ya kupata hizi taarifa maana huwa sifuatilii mambo ya muziki lakini hii habari ya kushinda tuzo ime hit sana. Na imenifanya kwa kweli niingie nimpigie kura aisee. Mi naomba apigiwe kura huyu mtu kwa kweli ni balozi wetu mzuri sana kwa sasa.
 
Instagram:-

from diamondplatnumz - Only God knows how Grateful i am... i realy wanna thank #mtvEma for this, without forgeting all Media, My fellow Artist and my all Loyal fans Around the World for the Votes.... Have been Nominated as the BEST WORLD WIDE ACT now...please my People i realy, realy need your Votes so that for the First time Africa can get the BEST WORLD WIDE ACT.....Link on my BIO☝
(Mungu pekee ndio anajua shukran iliyo Moyoni mwangu juu yenu... ningependa sana Niwashkuru mtvEma kwa tunzo hii... lakini pongezi nyingi ziwafikie Vyombo vya Habari, Wasanii na nyinyi Mashabiki zangu pendwa kwa kuweza kuhamasisha na kunipigia Kura mara kwa mara... Tumeweza Kushinda tunzo ya msanii Bora Africa na sasa tumeingia kwenye category ya Msanii Bora Ulimwenguni... Tafadhali usinichoke nahitaji sana, sana kura zenu ili kwa Mara ya kwanza Africa tuweze kushinda tunzo hii ya Msanii Bora Duniani...🙏 ) link ipo kwenye BIO☝ [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=mtvEma]#mtvEma [/URL] #BestWorldwideAct

****

Link hiyo ni hii

http://base.mtvema.com/vote
 
Last edited by a moderator:
diamondplatnumz - Working Hard and staying Humble are the two things that i will always Promise you..... More Hits to Come!!!! Please don't forget to Vote for me on MtvEma as the BestWorldwideAct 🙏 Cc raymondcharles1 BackfromAfrimma & NAFCA2015 afrimma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…