Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hapo kwa red, kinachomsukuma ni ile kanuni yake ya " kazi yoyote yenye maslahi kwangu siachi haijalishi ni nani, chama gani au taasisi gani au kundi au dini gani". Na kama munavyojua hakuna kazi isiyo na mkataba na 1 ya mkataba na masisiem ni yeye kuingiza kejeli,joki pamoja na vijembe kwenye nyimbo zake pa1 na kwenye kurasa zake za mitandao ndo mkataba unatimia na MIHELA ALIYOCHUKUA HUKO NIKIKWAMBIA UTAPINGA HATA UKILETEWA VITABU 500 VYA UDHIBITISHO, labda tuseme angeacha kabisa pesa zao na ni jambo la kipumbavu pia ktk maisha ya sasa kuacha pesa yenye maslai kwako kisa vyama wakati huohuo mashabiki wako wanataka vitu vizuri na vitu vizuri haviji from no where vinatafutwa na hiyo ndo sehemu ya utafutaji
 
teh teh teh

Innocizy


kura zako ni muhimu sana sasa,sahau yalio pita tuweke nguvu pamoja tumnyooshe Mhindi yule
 
Last edited by a moderator:
teh teh teh
Innocizy


kura zako ni muhimu sana sasa,sahau yalio pita tuweke nguvu pamoja tumnyooshe Mhindi yule

Hivi kipi kimetokea kuhusu priyanka naomba unijuze maana nimeingia insta ndio wimbo...I just love that woman
 
Last edited by a moderator:
Haiwezekani Tanzania The Best Live Act apate Ali Kiba na The Best Africa Live Act apate diamond Platnumz...........
Inamaana Bongo-Tz magumashi mengi,tunapata aibu kwa ajili y@ W@tu wachache.!++!!!!!!.
 
Last edited by a moderator:
Haiwezekani Tanzania The Best Live Act apate Ali Kiba na The Best Africa Live Act apate diamond Platnumz...........
Inamaana Bongo-Tz magumashi mengi,tunapata aibu kwa ajili y@ W@tu wachache.!++!!!!!!.
 
Last edited by a moderator:
Yaaani mm ndo hadi najiona boya.....
Kura sijampigia ila nilikua namuombea ashinde😂😂😂😂😂

Hahahaaa umenichekesha kweli! Uligeuka denied lover? Pole sana. Kuna vitu vya kuvumiliana tu.
 
hahahahahahah wapo wengi hata wakina pwilo sema wanavunga tu

Afrika hatujawahi kushinda best world wide act, diàmond anaenda kuweka rekodi
What's wrong with u guy u know I'm not diamond fan so stop to mention my id name in all news that's about her sorry him #kingkiba
 
Last edited by a moderator:
Kuiga wanaigeria sio tatizo, ilimradi watu walete burudani......

Mleta post jiulize we mwenyewe vingapi umeiga upto now?
Kazi tu kuanzisha miuzi ambayo ni useless..

Typical of a confused fellow!
 
wadau kmya hiki ooho! mhindi tumnyooshe.
nategemea ukawa niushindi na diamond platnumz ni the winner.taree 25/10/2015.
vote for chifu dangote.
 
Last edited by a moderator:
Toka niwe shabik wa dangote kwakweli maisha yangu yamekuwa ya furahaa na amani telee....cjawahi jutia kupoteza bando langu kwa kuvote kwa kila tunzo alizowahi chaguliwa...cjui ndo nnabahati hata cjui...na hii aliyopangwa na chopra najua ipo nyumbani tuu maan nlishaanza kuvote since day 1...hakika mungu yupo upande wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…