Watu wengi hawajui kwa kuwa wanafuata mkumbo kwa kuwa tu hawampendi DIAMOND ila ukweli ni kwamba Ali anajisikia sana na anadharau hata kwa watu wake wa karibu.
Kutokumkubali mtu akuhusiani na kuongelea mambo ya mtoto kama ni wake au la ila utaongelea kwa kile ambacho ukikubali kutoka kwake ambao ni muziki wake ( niliposema haters wake nilimaanisha wale wanaopenda kuongelea mambo yake binafsi na si muziki wake inaonyesha na wewe ni mmoja wao na kama sio basi unakihehere na visivyokuhusu)Hivi kutomkubali mtu nako ni kuwa hater?!
Kiswahili kigumu, lugha ya malkia nayo ndo vile ilishanipiga chenga
Baba mmoja ila mama tofautii lakini queen na Ali kiba pia ni mabinamu na hii niliisikia katika mahojiano ya miaka ile ambayo queen na Ali walikuwa wakiiva sana...sasa napata kigugumizi kusema kuwa diamond na Ali ni ndugu
Kutokumkubali mtu akuhusiani na kuongelea mambo ya mtoto kama ni wake au la ila utaongelea kwa kile ambacho ukikubali kutoka kwake ambao ni muziki wake ( niliposema haters wake nilimaanisha wale wanaopenda kuongelea mambo yake binafsi na si muziki wake inaonyesha na wewe ni mmoja wao na kama sio basi unakihehere na visivyokuhusu)
Diamond na queen wameshare baba
Diamond na esma wameshare mama
Queen wa kitambo sana. Tangu enzi zile za Vitu adimu ya Madmax
hongera diamond!wacha wenye stress waendelee kutema povu
Kirikuuuu? Yaani Miaka yote kwenye game queen darlin kashindwa kununua hata hako ka baby walker aka kirikuuuu?
Nakuuliza je mtu akipewa zawadi ya ch*pi inamaanisha hajawahi kununua au kuvaa kabla?
Pia kuna gari na gari.
Kirikuuuu? Yaani Miaka yote kwenye game queen darlin kashindwa kununua hata hako ka baby walker aka kirikuuuu?
Diamond na queen wameshare baba
Diamond na esma wameshare mama
Ndoa za kiswahili. U ride i ride
Baba mmoja ila mama tofautii lakini queen na Ali kiba pia ni mabinamu na hii niliisikia katika mahojiano ya miaka ile ambayo queen na Ali walikuwa wakiiva sana...sasa napata kigugumizi kusema kuwa diamond na Ali ni ndugu
Wanahusiana vp hawa raia. ?