Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Umaarufu wa nn wakati mwenzio amewekeza miradi mbalimbali kila siku anapata pesa
 
Naona mapovu yanawatoka tu, su irien tu video kali lakini mziki mzuri haupo pale hahahaha
 
Ndugu zangu sielewi kabisa, huyu jamaa Nasib mzee wa kick na skendo watu wamempuuza sana, anatumia gharama nyingi kutengeneza video kali lakini watanzania wanaishia kuipongeza video na sio nyimbo tena.

sasa hivi jamaa anachojivunia ni video kali na kukata mauno tu kwenye waimbaji bora hayupo kabisa, ukisikia kama ni tuzo yeye atabeba tu kipengele cha video bora ambapo kimsingi ni juhudi za director, pia utasikia kabeba tuzo ya mnenguaji bora ambapo kimsingi hata twanga pepeta hata wao wakikomaa watachukua.

Jamaa nyimbo zake zinaingia top 10 kwny tv na station zile zile tu huko nje kwa wachumia tumbo lakin huwezi kusikia hata siku 1 akishika chat hapa bongo kwanini?

Skendo sasa hamna hata kick ya kudandia hana tena, vya kupost hana maana kama ni kick ya tiffah basi kashazaliwa, kama ni wema basi mwenzake kashapata mtu wake.

Kijana hajui kick gan atokee, anajarbu kumchokonoa mfalme kiba, ila ndo hivyo kashazibwa mdomo na #Nagharamia sasa kabakia tu kupanick insta ooh i swear sijui nikifa hahahaha

Watanzania kwanini mmempuuza Nasib?

We jamaa inaonyesha kwenu wamezaliwa wanawake watupu ila mwanaume uko ww pekee yako,sasa kwa bahati mbaya umejikuta kuadapt tabia za Dada zako.
 
Wanachonishangaza mashabiki wa Kiba wa JF ni kimoja tu!! Hapa kuna mashabiki wa kike na wa kiume wa Kiba! Lakini posts zinazoandikwa na mashabiki wa kiume wa Kiba ungetarajiwa zingekuwa zinaandikiwa na wale wa jinsia nyingine lakini ni tofauti! Seriously, sio ushabiki wala kunogesha genge; hili jambo mara kwa mara nimekuwa nikijiuliza lakini sijapata jibu! Hivi hamna mwanasosholojia humu?
 
Bora ungeleta mada ya kuboresha timu ya Taifa Diamond mwenzio wazungu wanamjua lkn ww hata nyumba ya nne hwakujui, Roho mbaya hiyo Brother duuuuhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ndugu zangu sielewi kabisa, huyu jamaa Nasib mzee wa kick na skendo watu wamempuuza sana, anatumia gharama nyingi kutengeneza video kali lakini watanzania wanaishia kuipongeza video na sio nyimbo tena.

sasa hivi jamaa anachojivunia ni video kali na kukata mauno tu kwenye waimbaji bora hayupo kabisa, ukisikia kama ni tuzo yeye atabeba tu kipengele cha video bora ambapo kimsingi ni juhudi za director, pia utasikia kabeba tuzo ya mnenguaji bora ambapo kimsingi hata twanga pepeta hata wao wakikomaa watachukua.

Jamaa nyimbo zake zinaingia top 10 kwny tv na station zile zile tu huko nje kwa wachumia tumbo lakin huwezi kusikia hata siku 1 akishika chat hapa bongo kwanini?

Skendo sasa hamna hata kick ya kudandia hana tena, vya kupost hana maana kama ni kick ya tiffah basi kashazaliwa, kama ni wema basi mwenzake kashapata mtu wake.

Kijana hajui kick gan atokee, anajarbu kumchokonoa mfalme kiba, ila ndo hivyo kashazibwa mdomo na #Nagharamia sasa kabakia tu kupanick insta ooh i swear sijui nikifa hahahaha

Watanzania kwanini mmempuuza Nasib?
Wema Sepetu unambwembwe kila siku unatubadilishia namna ya kumlilia DIAMOND.
 
Tehe tehe tehe, hasira za kushindwa mamvi zinamwangukia Almasi. Mtoa mada akitendwa na boy friend wake anaondoa stress kwa kutumia jina la Mond. Dada Shad mzima?
 
kama kushinda mtumbuizaj bora ni rahisi bac kna crstian bela fallypupa na bob junior wangeshinda kila mwaka maana wao wanakata mauno kisawasawa.hata hvyo mbona wasanii weng wanakata tu mauno hata kiba au hujawah kumwona?kama hujamwona tafuta video ya dushelele umwangalie japo cku hz mauno yameongezeka kama pangaboi
 
#nagharamia imewazima mdomo hadi mashabiki....
Kiba mbayaaaaaaa sasa mond nae mwanamuziki au mnenguajiii bwahahahahaaaaaaaaaaaa...
Kunywa biaaaa # nagharamia mie.
Pasukeni kama vipi
 
Ndugu zangu sielewi kabisa, huyu jamaa Nasib mzee wa kick na skendo watu wamempuuza sana, anatumia gharama nyingi kutengeneza video kali lakini watanzania wanaishia kuipongeza video na sio nyimbo tena.

sasa hivi jamaa anachojivunia ni video kali na kukata mauno tu kwenye waimbaji bora hayupo kabisa, ukisikia kama ni tuzo yeye atabeba tu kipengele cha video bora ambapo kimsingi ni juhudi za director, pia utasikia kabeba tuzo ya mnenguaji bora ambapo kimsingi hata twanga pepeta hata wao wakikomaa watachukua.

Jamaa nyimbo zake zinaingia top 10 kwny tv na station zile zile tu huko nje kwa wachumia tumbo lakin huwezi kusikia hata siku 1 akishika chat hapa bongo kwanini?

Skendo sasa hamna hata kick ya kudandia hana tena, vya kupost hana maana kama ni kick ya tiffah basi kashazaliwa, kama ni wema basi mwenzake kashapata mtu wake.

Kijana hajui kick gan atokee, anajarbu kumchokonoa mfalme kiba, ila ndo hivyo kashazibwa mdomo na #Nagharamia sasa kabakia tu kupanick insta ooh i swear sijui nikifa hahahaha

Watanzania kwanini mmempuuza Nasib?

Tumempuuza sababu ni mjinga na wapo wengi sana watashuka viwango
 
#nagharamia imewazima mdomo hadi mashabiki....
Kiba mbayaaaaaaa sasa mond nae mwanamuziki au mnenguajiii bwahahahahaaaaaaaaaaaa...
Kunywa biaaaa # nagharamia mie.
Pasukeni kama vipi

Nagharamia mbovu kabisa, na ndio inadhidi kudhihirisha muandiko mzuri sio kufaulu mtihani..

Dint bother imetambulishwa mtvbase, na sasahivi inapigwa na redio kibao sio east africa pekee hadi nje ya hapa kwetu rotation za kutosha tu..

hata hype ya mashabiki walivyoipokea huwezi kabisa kufananisha na hiyo garamiwa..

Subirini mwanaume atoe vitu mwishoni mwezi huu, kuanzia tar 20 muda wowote Afrika nzima inazizima..
 
Nagharamia mbovu kabisa, na ndio inadhidi kudhihirisha muandiko mzuri sio kufaulu mtihani..

Dint bother imetambulishwa mtvbase, na sasahivi inapigwa na redio kibao sio east africa pekee hadi nje ya hapa kwetu rotation za kutosha tu..

hata hype ya mashabiki walivyoipokea huwezi kabisa kufananisha na hiyo garamiwa..

Subirini mwanaume atoe vitu mwishoni mwezi huu, kuanzia tar 20 muda wowote Afrika nzima inazizima..

diamond kashapoteza mvuto,, hakuna mtu mwenye habari nae tena
 
Back
Top Bottom