hahahahaaa embu acha kuvunja mbavu zangu,kwa hiyo uliskia upande wa pili kichwani kwako akajaa kiba??? so umeshamfanya mondi na kiba simba na yanga au???
Ha ha ha ha ha ni sheeeeeeedah
Labda uamue kubisha tu ila kwa jukwaa hili na trend ya karibuni basi upande wa pili wa chibu ni kiba!! Sio ben Paul wala mavoko!!hahahahaaa embu acha kuvunja mbavu zangu,kwa hiyo uliskia upande wa pili kichwani kwako akajaa kiba??? so umeshamfanya mondi na kiba simba na yanga au???
panua mapafu mama O2 iingie kwa wingi mwili upate afya, stress free zone
Labda uamue kubisha tu ila kwa jukwaa hili na trend ya karibuni basi upande wa pili wa chibu ni kiba!! Sio ben Paul wala mavoko!!
Ngoja nianzishe Uzi wa mashabiki wa diamond na kiba kwa pamoko?!
sio mapafu tu mpaka naniliu.....
sio mapafu tu mpaka naniliu.....
Labda uamue kubisha tu ila kwa jukwaa hili na trend ya karibuni basi upande wa pili wa chibu ni kiba!! Sio ben Paul wala mavoko!!
Ngoja nianzishe Uzi wa mashabiki wa diamond na kiba kwa pamoko?!
Labda uamue kubisha tu ila kwa jukwaa hili na trend ya karibuni basi upande wa pili wa chibu ni kiba!! Sio ben Paul wala mavoko!!
Ngoja nianzishe Uzi wa mashabiki wa diamond na kiba kwa pamoko?!
Ngoja nianzishe Uzi wa mashabiki wa diamond na kiba kwa pamoko?!
if u cant right them join them...!!!
woyowo....!!!
woyowoyowooooo!!!!
Hana mpinzani EAST AFRICA.
Nipo chini ya raba yake naomba asiachane na wema....ni hilo tu!!!
Huu uzi uwe maalum kwa watu wote wenye mapenzi mema na wanao mtakia mafanikio kimuziki na kimaisha kijana Naseeb Abdul "Chibu Dangote".
Wenye kutaka kumshauri na kumtia moyo kijana aendelee kupaa na kuiwakilisha Tanzania kimuziki basi mnakaribishwa hapa mje mtoe maoni yenu kwa management na team Diamond kwa ujumla wapi wanakosea wapi waongeze juhudi wapi wajirekebishe ili kijana aendelee kua "the baddest musician" in Tanzania na East Africa kwa ujumla.
kukosoa pia ni ruksa kwani no body is perfect.
Wale jirani wenye chuki,wivu na roho mbaya kwa vijana wenzao wanao onyesha mafanikio pia wana karibishwa humu ndani kutoa changamoto,kukejeri,kudharau na kutukana pia mnaruhusiwa kama mna akili timamu.
karibuni sana wadau.
Huu uzi uwe maalum kwa watu wote wenye mapenzi mema na wanao mtakia mafanikio kimuziki na kimaisha kijana Naseeb Abdul "Chibu Dangote".
Wenye kutaka kumshauri na kumtia moyo kijana aendelee kupaa na kuiwakilisha Tanzania kimuziki basi mnakaribishwa hapa mje mtoe maoni yenu kwa management na team Diamond kwa ujumla wapi wanakosea wapi waongeze juhudi wapi wajirekebishe ili kijana aendelee kua "the baddest musician" in Tanzania na East Africa kwa ujumla.
kukosoa pia ni ruksa kwani no body is perfect.
Wale jirani wenye chuki,wivu na roho mbaya kwa vijana wenzao wanao onyesha mafanikio pia wana karibishwa humu ndani kutoa changamoto,kukejeri,kudharau na kutukana pia mnaruhusiwa kama mna akili timamu.
karibuni sana wadau.
Absolutely. ...!
Kweli kabisa. ..
namkubali chibu balaaa