haaaah diamond anajua kutupa utamu jamani
Project
Project
Uwiiiii...hii so ndo wanasema ni ya picha duka?
Acha project iendelee
I like zari,damn....the lady is so hot jamani khaaa.....kaka chibu ukionekana na high class women kama hao watu hawapendi kaka.....wanataka ubaki na wale wa tandale etiiiiii
Hivi diamond akae za zali siku zote zile afu akose hata mdendeko??????
Wakati nyotaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hahaha......
Au tulete na ya mkono kupaja?????
Hivi diamond akae za zali siku zote zile afu akose hata mdendeko??????
Wakati nyotaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hahaha......
Au tulete na ya mkono kupaja?????
Hahaaaa we jamaa wewe
Unajua kuna watu wanataka kama mtu hakua na Pesa afu akapata baadae,basi aendelee kuishi maisha yaleyale ya zamani...nonsense
Wao walitaka mpaka leo diamond awe bado anaishi tandale awe bado anadate watoto wa tandale...asiwe nominated hata tuzo za kili achilia zile za MTV na bet.....
Hao ndio wanaomchukia huyu kijana.
Hivi diamond akae za zali siku zote zile afu akose hata mdendeko??????
Wakati nyotaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hahaha......
Au tulete na ya mkono kupaja?????
Wanataka kumrudisha nyuma wakati kashafika mbele, mwaka huu lazma wajue kutofautisha msalaba na jumlishaa......
Unajua kuna watu wanataka kama mtu hakua na Pesa afu akapata baadae,basi aendelee kuishi maisha yaleyale ya zamani...nonsense
Wao walitaka mpaka leo diamond awe bado anaishi tandale awe bado anadate watoto wa tandale...asiwe nominated hata tuzo za kili achilia zile za MTV na bet.....
Hao ndio wanaomchukia huyu kijana.
I like zari,damn....the lady is so hot jamani khaaa.....kaka chibu ukionekana na high class women kama hao watu hawapendi kaka.....wanataka ubaki na wale wa tandale etiiiiii
hata ningekua mimi nisinge muacha yule dada mtamu eti khaa!