naahidi kutoa 30,000 kwako ukitoa at least post moja ya ukweli kuhusu diamond [post moja per day for a week only]!
terms and condition:at least wapenzi watano wa DIAMOND jukwaa hili wathibitishe ni kweli ulichosema
cc: Moderator
naahidi kutoa 30,000 kwako ukitoa at least post moja ya ukweli kuhusu diamond [post moja per day for a week only]!
terms and condition:at least wapenzi watano wa DIAMOND jukwaa hili wathibitishe ni kweli ulichosema
cc: Moderator
jukwaa limekua tam ghafla.. ngoja niongeze bando
isee umetisha
huku kuzuri sana ni punch after punch.
katisha kama njaa!
afu team chibu hatutaki kuongea saaana kujaza thread,projects zenyewe zinaongea. ni jiwe juu ya jiwe.
Dhiki Mbaya.....hasa ukiiendekeza
afu team chibu hatutaki kuongea saaana kujaza thread,projects zenyewe zinaongea. ni jiwe juu ya jiwe.
naahidi kutoa 30,000 kwako ukitoa at least post moja ya ukweli kuhusu diamond [post moja per day for a week only]!
terms and condition:at least wapenzi watano wa DIAMOND jukwaa hili wathibitishe ni kweli ulichosema
cc: Moderator
Malawi kuisaidia Japan msaada wa Computer!!
Malawi kuisaidia Japan msaada wa Computer!!
hatuhitaji motisha kishawishi wala kichocheo.tuna wiki mbili tuu lakini tupo vizuri
jamaa ana wafanya wenzake wajinga ana wafanya watumwa wa akili ha ha ha watoto wa mbwa full kukesha jamvini eti kisa buku 20 halafu mwenzao ana kuja huku kwetu kuwa kejeli wale "first year" ni maskini hawana hela ya kumpa yeye Matola we ni japan wale first year wako ni malawi ha ha ha.
Ukitaka kujua Diamond nyoko angalia alivyoteka hili jukwaa...yani SAA hizi hata topic za Le Mbebez hazihit......!
Halafu bila ofa wala nini Uzi unasogea tu na vya kujadili vipo...hatujadili matusi.......aiiiiiiiiiiii........
msaada hauangalii kipato we dingi,kwa mantiki hiyo kule kwenu umetoa msaada kwa wale maskinil first year ili upate masifa ha ha ha ume washindisha jamvini kutwa kisa bundle ya buku 20.......i call it "mental slavery".