Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

umaskini mbaya kweli,wameshindishwa jamvini kisa buku 20 duh kweli adui yako mwombee njaa.ameanzisha thread bcoz yeye ni mjapani then alijua sudan kusini lazma waje bcoz hawana ujanja

Ha ha ha ha....kule kuna Matola ana jiita japan then surbodinates wake ni team sudan ya kusini njaa kali.dooh kazi kweli kweli.
 
Last edited by a moderator:
Form is Temporary but CLASSIC is permanent......Ally Kiba town kitambo kipindi hicho Diamond anagombea kupiga picha naye while Ally Kiba anafanya yake!For more info.muulize Queen Darleen......msilete ushabiki maandazi hapo!Nilikuwepo
 
Haa... wale nyie wapuuzeni tu! Dangote sasa ana view zaidi ya 415,000 wakati hata saa 100 hazijafika tangu video iwe uploaded... views zote hizo hakuna aliyelipwa hata sh. 500 watu wanaenda wenyewe kwa raha zao!! Tena bora wapeane hizo buku 20 ili waongeze bundle wakafaidi vizuri Nitampata Wapi ingawaje hawaji kutupa mrejesho!!!
 
Form is Temporary but CLASSIC is permanent......Ally Kiba town kitambo kipindi hicho Diamond anagombea kupiga picha naye while Ally Kiba anafanya yake!For more info.muulize Queen Darleen......msilete ushabiki maandazi hapo!Nilikuwepo

form is temporary CLASS is permanent......sio CLASSIC IS PERMANENT......
 
Nyie wote humu ni watoto wadogo sana kimziki.....naamini mmeanza kufuatilia music 2010+ after singo ya kamwambie!
 
form is temporary CLASS is permanent......sio CLASSIC IS PERMANENT......

Asante sana...tatizo wanajua kuongea ila kuandika sifuri, hapo atakuwa kasikiliza kwenye series za dada ake anazoangalia kaiga makosa.
 
Thanks!Umeelewa.....mkibisha sana ntaweka hapa picha ya 2008 kipindi hicho jamaa yenu anajipendekeza kwa Ally Kiba

sasa wewe unazungumzia nani kaanza muziki zamani au nani sasa hivi mkali na ana mafanikio kwenye muziki???

kama kuanza zamani walikuwepo kwanza unit,gwm,unique sisters etc wakati huo huyo ali kiba wako yuko darasa la kwanza au hata hajaanza.

kama unazungumzia mafanikio na nani yuko juu kwenye bongo flava sidhani kama hata kuna mjadala...there is only one,DIAMOND.
 
Muulizeni Queen Darleen alivokuwa anajipendekeza kwa Ally Kiba 4real hadi akachezea liboro Fc ili Diamond ashikwe mkono na Ally Kiba........
 
Form is Temporary but CLASSIC is permanent......Ally Kiba town kitambo kipindi hicho Diamond anagombea kupiga picha naye while Ally Kiba anafanya yake!For more info.muulize Queen Darleen......msilete ushabiki maandazi hapo!Nilikuwepo

Eti classic is permanent...sema class is permanent punguza kukurupuka mkuu
 

Mkuu nakuomba usibishNe na hao wanaomlinganisha jamaa yao na dai we waache tu maana hawana hoja , hawana fact ni chukii tui kwanza tunazidi kumpa kick msanii aliyekosa hela ya video nakuomba mkuu tuwaache
 
Ha ha ha ha....kule kuna Matola ana jiita japan then surbodinates wake ni team sudan ya kusini njaa kali.dooh kazi kweli kweli.

Hao haters tunawapa kick mkuu tulifanya makosa sana hadi leo hii post yao imefika pale maana ndo tulikuwa wachangiaji wakuu sasa ishu ni kuwaacha wamjadili msanii wao ambaye hana cha kujadiliwa zaidi ya kuanzisha bifu za ovyo
 
Last edited by a moderator:
Form is Temporary but CLASSIC is permanent......Ally Kiba town kitambo kipindi hicho Diamond anagombea kupiga picha naye while Ally Kiba anafanya yake!For more info.muulize Queen Darleen......msilete ushabiki maandazi hapo!Nilikuwepo

jiulize duly sykes na huyo kibaka nani alianza mziki?then jiulize nani ana hit singo tangu anaanza mziki then ukipata jibu ndo ujue nani ndo king wa bongo fleva
 
Form is Temporary but CLASSIC is permanent......Ally Kiba town kitambo kipindi hicho Diamond anagombea kupiga picha naye while Ally Kiba anafanya yake!For more info.muulize Queen Darleen......msilete ushabiki maandazi hapo!Nilikuwepo
Hata Mr. Nice alianza kabla ya Kiba... nilikuwa nahudhuria show za Mr. Nice wakati nasoma wakati kazi ya kwanza ya Ali Kiba niliinunua wakati nimeajiriwa... kwahiyo hapa hatujadili nani kaanza coz' hata huyo Kiba si miongoni mwa walioanza... wapo wa mwanzo kama Mr. Paul na Four Crewz Flavor yao , Da Young Mob, KU, DPT, WWA, n.k... hapa tunaongea kuhusu wanaokimbiza hivi sasa.. kajipange!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…