Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Kabisa hicho ndicho kitu kilichonifanya nimkubali katika kazi zake. Anajituma kwa hali na mali ili kuhakikisha anaondokana na tatizo la umaskini. Ametokea from grassroots up to the top for his efforts.

Sahihi Mkuu
 
Diamond kaachwa na Wema na sasa mzigo unaliwa na wengine ni nini usichoelewa hapo?
Naelewa ila sitaki kuamini make nlikuwa nangoja harusi ya uwanja wa taifa kwa uchu sana kama naolewa mie vile
 
Nipo chini ya raba yake naomba asiachane na wema....ni hilo tu!!!

Sio wasiachane, ndomo kashaachwa ndo maana anatapa tapa kujipendekeza kwa zari ili aonekane na yeye anaweza kutoka na mademu wakali, wakati ndomo kwa zari hafai hata kuwa kijakazi wake, yule demu ni next level, ana Elimu na utajir wa kutosha ndomo vyote hana , sasa unategemea nn kama sio kufanywa golikipa? Na bado ndomo mwaka huu atahangaika sana ata akipiga picha na lupita mama ubaya hamtaki tena atajiju
 
uzi umebuma hadi aibu kiba hatumii uganga kupanda chat ni sauti aliobarikiwa dadamond muda si mrefu utakufa kifo cha mende unaanza kuzinguana na akina mama huruma kina wema shauri yako
 
uzi umebuma hadi aibu kiba hatumii uganga kupanda chat ni sauti aliobarikiwa dadamond muda si mrefu utakufa kifo cha mende unaanza kuzinguana na akina mama huruma kina wema shauri yako
mjinga wewe huna akili kabisa wewe mbwa mkubwa umefata nini ? huku
 
Sio wasiachane, ndomo kashaachwa ndo maana anatapa tapa kujipendekeza kwa zari ili aonekane na yeye anaweza kutoka na mademu wakali, wakati ndomo kwa zari hafai hata kuwa kijakazi wake, yule demu ni next level, ana Elimu na utajir wa kutosha ndomo vyote hana , sasa unategemea nn kama sio kufanywa golikipa? Na bado ndomo mwaka huu atahangaika sana ata akipiga picha na lupita mama ubaya hamtaki tena atajiju
oooh!!!! u
 
dogo yuko vizuri, mengine yote ni roho mbaya za watu. Songa mbele, nyota yako kali hakuna wa kukufunika kwa sasa. Wanaokubeza, kukupinga, kuweka vikwazo hawataweza, wanapoteza muda wao. Cha msingi unatakiwa ujue hakuna kisichokuwa na vikwazo chini ya jua. Huwezi kula muwa bila kukuta fundo. Waheshimu mashabiki wako, wanaokupenda na kukubeza pia. Marafiki na maadui zako. JINA LAKO LITADUMU KWA MUDA MREFU!
 
Sio wasiachane, ndomo kashaachwa ndo maana anatapa tapa kujipendekeza kwa zari ili aonekane na yeye anaweza kutoka na mademu wakali, wakati ndomo kwa zari hafai hata kuwa kijakazi wake, yule demu ni next level, ana Elimu na utajir wa kutosha ndomo vyote hana , sasa unategemea nn kama sio kufanywa golikipa? Na bado ndomo mwaka huu atahangaika sana ata akipiga picha na lupita mama ubaya hamtaki tena atajiju
oooh!!!! endelea kubwabwaja wewe unaelimu na hela ? unashinda jf kukashifu watu mburulaaa wewe
 
dogo yuko vizuri, mengine yote ni roho mbaya za watu. Songa mbele, nyota yako kali hakuna wa kukufunika kwa sasa. Wanaokubeza, kukupinga, kuweka vikwazo hawataweza, wanapoteza muda wao. Cha msingi unatakiwa ujue hakuna kisichokuwa na vikwazo chini ya jua. Huwezi kula muwa bila kukuta fundo. Waheshimu mashabiki wako, wanaokupenda na kukubeza pia. Marafiki na maadui zako. JINA LAKO LITADUMU KWA MUDA MREFU!

kweli watu hawapendi maendeleo ya mtu
 
oooh!!!! endelea kubwabwaja wewe unaelimu na hela ? unashinda jf kukashifu watu mburulaaa wewe

Mburula ni baba ako mzazi aliyekuzaa, achana na mimi barazur wewe, apa ndo mwisho wa reli, endelea kunichokonoa, ntakupaka mavi mwil mzima shenzi typeee
 
mjinga wewe huna akili kabisa wewe mbwa mkubwa umefata nini ? huku

Amefuata nini JF ni ya baba ako hii??? Ebu muache kabla sijakupaka mavi mwili mzima, zezeta mkubwa wewe, izo team zenu za ajabu peleken uko uswahilin kwenu
 
Sio wasiachane, ndomo kashaachwa ndo maana anatapa tapa kujipendekeza kwa zari ili aonekane na yeye anaweza kutoka na mademu wakali, wakati ndomo kwa zari hafai hata kuwa kijakazi wake, yule demu ni next level, ana Elimu na utajir wa kutosha ndomo vyote hana , sasa unategemea nn kama sio kufanywa golikipa? Na bado ndomo mwaka huu atahangaika sana ata akipiga picha na lupita mama ubaya hamtaki tena atajiju

Kwahiyo pale kwa zari ni picha tu hadonoi? mmh pozi zote zile...
madame amechoks na uchumba sugu ha ha ha
 
Back
Top Bottom