Kabisa hicho ndicho kitu kilichonifanya nimkubali katika kazi zake. Anajituma kwa hali na mali ili kuhakikisha anaondokana na tatizo la umaskini. Ametokea from grassroots up to the top for his efforts.
Nyinyi mtabakia kuwa ni watu wa copy and paste, mmeshindwa hata kumpa credit Matola kwa ubunifu mpaka na nyinyi mkavutiwa na kuiga?
Naelewa ila sitaki kuamini make nlikuwa nangoja harusi ya uwanja wa taifa kwa uchu sana kama naolewa mie vileDiamond kaachwa na Wema na sasa mzigo unaliwa na wengine ni nini usichoelewa hapo?
Hawako aware nyimmbo zake MTV wamezipiga sana OctoberIvi wako aware kwamba DIAMOND was MTV BASE ARTIST OF THE MONTH , OCTOBER 2014.
Actions SPEAK LOUDER.
Nipo chini ya raba yake naomba asiachane na wema....ni hilo tu!!!
Nyinyi mtabakia kuwa ni watu wa copy and paste, mmeshindwa hata kumpa credit Matola kwa ubunifu mpaka na nyinyi mkavutiwa na kuiga?
Diamond ni kielelezo cha mafanikio kwa vijana watafutaji.....
Naelewa ila sitaki kuamini make nlikuwa nangoja harusi ya uwanja wa taifa kwa uchu sana kama naolewa mie vile
mjinga wewe huna akili kabisa wewe mbwa mkubwa umefata nini ? hukuuzi umebuma hadi aibu kiba hatumii uganga kupanda chat ni sauti aliobarikiwa dadamond muda si mrefu utakufa kifo cha mende unaanza kuzinguana na akina mama huruma kina wema shauri yako
oooh!!!! uSio wasiachane, ndomo kashaachwa ndo maana anatapa tapa kujipendekeza kwa zari ili aonekane na yeye anaweza kutoka na mademu wakali, wakati ndomo kwa zari hafai hata kuwa kijakazi wake, yule demu ni next level, ana Elimu na utajir wa kutosha ndomo vyote hana , sasa unategemea nn kama sio kufanywa golikipa? Na bado ndomo mwaka huu atahangaika sana ata akipiga picha na lupita mama ubaya hamtaki tena atajiju
oooh!!!! endelea kubwabwaja wewe unaelimu na hela ? unashinda jf kukashifu watu mburulaaa weweSio wasiachane, ndomo kashaachwa ndo maana anatapa tapa kujipendekeza kwa zari ili aonekane na yeye anaweza kutoka na mademu wakali, wakati ndomo kwa zari hafai hata kuwa kijakazi wake, yule demu ni next level, ana Elimu na utajir wa kutosha ndomo vyote hana , sasa unategemea nn kama sio kufanywa golikipa? Na bado ndomo mwaka huu atahangaika sana ata akipiga picha na lupita mama ubaya hamtaki tena atajiju
dogo yuko vizuri, mengine yote ni roho mbaya za watu. Songa mbele, nyota yako kali hakuna wa kukufunika kwa sasa. Wanaokubeza, kukupinga, kuweka vikwazo hawataweza, wanapoteza muda wao. Cha msingi unatakiwa ujue hakuna kisichokuwa na vikwazo chini ya jua. Huwezi kula muwa bila kukuta fundo. Waheshimu mashabiki wako, wanaokupenda na kukubeza pia. Marafiki na maadui zako. JINA LAKO LITADUMU KWA MUDA MREFU!
oooh!!!! endelea kubwabwaja wewe unaelimu na hela ? unashinda jf kukashifu watu mburulaaa wewe
mjinga wewe huna akili kabisa wewe mbwa mkubwa umefata nini ? huku
mjinga wewe huna akili kabisa wewe mbwa mkubwa umefata nini ? huku
Sio wasiachane, ndomo kashaachwa ndo maana anatapa tapa kujipendekeza kwa zari ili aonekane na yeye anaweza kutoka na mademu wakali, wakati ndomo kwa zari hafai hata kuwa kijakazi wake, yule demu ni next level, ana Elimu na utajir wa kutosha ndomo vyote hana , sasa unategemea nn kama sio kufanywa golikipa? Na bado ndomo mwaka huu atahangaika sana ata akipiga picha na lupita mama ubaya hamtaki tena atajiju
ulicho buni wewe ni nini hapa zaidi zaidi ume copy pia from sports forum acha kujikweza dogo.
Nini ulichobuni wewe special thread zilikuwepo kitambo humu jf kabla hata hujajua jf nini ..sports forum zipo za toka 2006