Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Hanaa makuu Sepetunga.....jana niliona nikasema mmmmmh hii hongera imetoka moyoni et kaka chibu
Diamonds are forever
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hanaa makuu Sepetunga.....jana niliona nikasema mmmmmh hii hongera imetoka moyoni et kaka chibu
Wanamtia nuksi tu Kiba wa watu..ndo mana hafanikiwi....
Na hiyo video ndo wasahauu....
Tuzo kubwa sana aise
Hanaa makuu Sepetunga.....
Diamonds are forever
KWA mara nyingine, kijana hajatuangusha.... aaahh, na leo tena nyama, mnatuumiza pua jamani!!!!
Leo ndo watajulikana ni akina nani waliambiwa wanye boga!!!!!
http://channelo.dstv.com/2014/11/choamva14-winners/
dah... aisee we umpotea!!! au ulikuwa kule kwa kufurahi mwaka mara moja, ukaona, ehee... shida yote hii ya nini!!!jana niliona nikasema mmmmmh hii hongera imetoka moyoni et kaka chibu
bwah! bwah! Bwah! wakati wengine wanashangilia kujaza pages za sredi wengine wanashangilia MAMITUZO YA CHANELI O!weee sio nyama tu n nyama pamoja na vitunguu saumu yaan tunawaumiza kwelikweli pua zao,wenyewe wameshazoea kisamvu yaan hii ni shida
Kabisa... kwa 100%!!!!uskute inamuuma na hivi anapenda mashauzi anatamani angekuwepo
Eksi na kuzidisha.....Mwaka Huu lazima wajue kutofautisha kati ya msalaba na jumlisha... he did it
bwah! bwah! Bwah! wakati wengine wanashangilia kujaza pages za sredi wengine wanashangilia MAMITUZO YA CHANELI O!
bwah! bwah! Bwah! wakati wengine wanashangilia kujaza pages za sredi wengine wanashangilia MAMITUZO YA CHANELI O!
kazi wanayo yaan wanavyojitahidi kujaza sredi hatari ila jana wamejaziwa vya kutosha kwa kupelekewa taarifa.sisi huku ni matuzoo tu ndo tunachokitaka
uuh nshaamka hapa naona shangwe kila kona ya mtaa...acha project ziendelee
uskute inamuuma na hivi anapenda mashauzi anatamani angekuwepo
jana niliona nikasema mmmmmh hii hongera imetoka moyoni et kaka chibu
KWA mara nyingine, kijana hajatuangusha.... aaahh, na leo tena nyama, mnatuumiza pua jamani!!!!
Leo ndo watajulikana ni akina nani waliambiwa wanye boga!!!!!
http://channelo.dstv.com/2014/11/choamva14-winners/
Angesema tu hongera diamond mambo ya kaka yanatoka wapi sasa yani mtu ampande miaka na miaka leo amuite kaka mmhKaona aibu kila mtu kampa hongera kaamua na yeye kutoa ili ajisogeze karibu
Ila hadi kijana aje aoe mama atakuwa kishaona wanawake wa kila rangi kwake make ni sheeedaBora mwaya umeamka tushangilie kwa pamoja...