Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Dinazarde

Binamu yako atakuwa kalazwa aise,fanya kufatilia ujue ni hospital gani Umpeleke Juice ya Ndimu,Maana yupo kimya sana,
hahahahahha
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu amesema watanzania ni mazuzu ila huyu ni mmoja wao yeye kitu chochote bora lazima kiwe nje ya Tanzania sijui kwa nini hajiamini na haamini kama watanzania tunaweza.
 
Kuna mtu amesema watanzania ni mazuzu ila huyu ni mmoja wa yeye kitu chochote bora lazima kiwe nje ya Tanzania sijui kwa nini hajiamini na haamini kama watanzania tunaweza.

Nime mfatilia huyo jamaa hajui kitu yeye alikua ana subiria chibu akose tuzo aanze kurusha vijembe sasa ndio hivyo mtoto wa tandale kabeba mzigo watu sura wanazificha kwenye tundu la choo cha sokoni ha ha ha
 
Wanamwaga mitusi haooo....eti page ziongezeke wapewe bundle.....

Nimeenda wachungulia,,, niwewakuta wanatakiana j pili njema... Ha ha ha ha ha.....

Nimekimbia fasta., hawakawii kutukana.
 
Kuna mtu amesema watanzania ni mazuzu ila huyu ni mmoja wao yeye kitu chochote bora lazima kiwe nje ya Tanzania sijui kwa nini hajiamini na haamini kama watanzania tunaweza.

huyu ni zuzu namba 1
 
Nimeenda wachungulia,,, niwewakuta wanatakiana j pili njema... Ha ha ha ha ha.....

Nimekimbia fasta., hawakawii kutukana.

ha ha ha una jua jamaa walikua wAnasubiria mond akose tuzo waanze kusema tusinge kaa humu ndani wale waswahili wana vyo jua kuongea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…